Huyu Floyd Mayweather ni kumuombea afulie tu

Free big Meech namjua light skinned these are rappers pay homage to him.
Yupo Jela bado
Yeah ni huyo jamaa mkuu. Alikuwa anapush cocaine in major ways. Walipomkamata alikuwa na $13 million in cash na katika moja ya nyumba zake na stash houses walikamata kilo 500 za cocaine. Mind you hiyo ilikuwa 2005. Rappers karibia wote wanamfahamu na kumheshimu jamaa. Young Jeezy alikuwa mmoja wa vijana wake (mpambe) aliyetumia nafasi ya boss wake vizuri ikamtoa kimaisha.
Alipigwa jela miaka 30. Ila jamaa alikuwa poa sana maana alikuwa anasapoti sana single black mothers akiwasomesha wale wenye Nia ya kusoma na kuwalipia bills wale wasiojiweza. Pia alisaidia sana Black owned business. Alipokamatwa black community iliathirika kwa kiwango kikubwa.

Jamaa alikuwa loaded kwa pesa na hakuwa na show off za kipuuzi. Ila wapambe ndio walikuwa balaa. Angalia clips zake ytube.
Ana msemo wake alikuwa anauoenda sana "Blowing Money Fast" uliompelekea Rozay kuutungia wimbo.
Big Meech alikuwa mkaree sana. Aliitikisa Southwest na Marekani kwa ujumla.
Free Big Meech.
 
Life linakuwa boaring if you hv everything....kuna ugonjwa unapata...niulizeni mm....lkn bwn John Stephano punguza wivu....marangapi humu umejitangaza una viela mbuzi!!?
Hahaha nilijua tu utanishambulia. Ila top 1000 bongo wenye hela nimo
 
Ni ulimbukeni tuu. Mbona wenzake akina Dr dre pdiddy na jigger wako poa tangu washike hela hadi Leo. Yani aibu
Kuna tofauti sana ya huyu jamaa na hao ulio wataja,huyu jamaa majigambo na huu unaouita ulimbukeni ndivyo vinavyo zidi kumletea pesa.Jaribu kumfuatilia utagundua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinacho kushangaza utamaduni wako na wamarekani weusi ni tofauti angefanya hivyo bongo nisinge mwelewa hila kwa marekani ni sawa hayo ndio maisha yao kabla ujapost hakikisha umefanya research
 
Hao wote uliowataja hawamfikii Floyd kwa mkwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mafanikio ya FLOYD MAYWEATHER yanakuuma nini? Amka upambane na wewe upate za kwako, mwanaume kulalamika kwa pesa za mwanaume mwenzako kwa pesa alizozitafuta kwa jasho lake ni ishara tosha ya upunga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usimfananishe Floyd na Tyson.

Floyd anaakili kubwa sana ya utafutaji na akishapata anajua haswa namna ya kuzitumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu JF wanaringia degree uchwara za Udsm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamjua Floyd Mayweather vizuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Yale makonde mazito zito in sawa tu ajifariji kihivyoo...maana anaweza kudedishwa any time

ni sawa tu na jamaa wa machimboni siku wakiotea madini ya Tanzanite...huwa wanafanya kufuru zaidi ya hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjinga ni wewe unaepangia matumizi fedha za watu! Waafrika tuna tabu sanaa
 
Wewe hauna akili hata kidogo.

Kwani ni lazima kila mtu aje kuwekeza Africa?

Unajua vyanzo vya mapato vya Floyd?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna mmarekani mweusi mwenye pesa sawa na Tanzania
















 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…