Huyu Floyd Mayweather ni kumuombea afulie tu

Jamaa alisem hela zitakuletea haters or zitakumotovate.. sass nakuona wewe upo kwa hating zaidi hahahahahaha get urs bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think I'm Big Meech,Larry Hoover!!
 
Huyo jamaa muuza unga
 
Hapo ni ulimbukeni wake tu ...mbona kina messi hawajaenda shule but hawana huo uzwazwa na ndio wanatokea Argentina huko .... mbona husen bolt hana hizo mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji123][emoji123][emoji123]hate or get inspired... Hakters watamkandia kwa mengi lakini hajali ni maisha yake na ana hela kuliko sisi wote na wengine mamilioni kwa mamilioni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
....Sure mkuu,anataka vijana hasa weusi wawe Inspired naye,wajifunze kupitia yeye,Baba alikuwa mła sembe,na alifugwa jela,lkn kwa changamoto zote alisimama imala na aliamini katika kipaji chake....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Tyson hakuwa na washauri wazuri wa kifedha. Mayweather ana investments nyingi na kwa age yake usitegemee miaka 20 ijayo atakuwa kazimaliza hizo billions. Maana anatumia na still zinaendelea kuingia tu. Ana Casino yake ya malaya, sidhani kama kuna mtu hajui biashara ya malaya inavyolipa marekani!
 
Kumuombea afulie ni kama kuchemsha supu ya mawe. Utamaliza kuni babu! Bora upange mtumba mezani uuze nawewe utapiga hela.
 
Tell them

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba,akina birdman watatu au wanne,ndo wanafikia utajiri wa huyu mpuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…