Huyu fundi wa hizi sarakasi ni nani?

Kwa vile wew mwanamke umekiri kuwa GWAJI ni RIJALI mimi ni nani hata nipinge?[emoji38][emoji38][emoji38]ntajuaje....@Extrovert
[emoji23][emoji23][emoji23] rijali anayekojoa sekunde 30 at least mlingoti wake unasimama lakini sio mda mrefu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] rijali anayekojoa sekunde 30 at least mlingoti wake unasimama lakini sio mda mrefu
Huenda lilikuwa bao la kwanza, hatujui round ya pili ilikuwaje
 
Kuna dharau juu ya wanawake inajitanabaisha hapa na kuna kikundi ndani ya mamlaka hakikubali kuongozwa na wanawake! Je Gwajima na Sirro ni sehemu yao?
Tumelisema sana hili hapa..... Ni dhahiri shahiri... Kuna dharau ya wazi kabisa...

Wacha tuendelee subiri.
 
Je, Dorothy Gwajima nao wamekuwa wangapi.
Una kumbukumbubu yoyote ya IGP Siro kuagizwa na waziri katika awamu iliyopita?
Na Kama ipo huenda ikawa Ni coincidence tu, yaani kana kwamba unamwagiza mwalimu kufundisha..
 
Huenda lilikuwa bao la kwanza, hatujui round ya pili ilikuwaje
Aaah wapi hafu sauti ilikuwa inalia kabisa sasa sijui Nani kibamia na Nani bwawa hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Chain of Command kwa sasa ni kama haipo kabisa.

Haya yote ni matokeo ya failure ya awamu ya nne. Uongozi wenye nidhamu ukiishia ishia kwake. Wale wote waliokuwa au kukuzwa na mwalimu walifaulu kisiasa na ki protocols: na walielewa vyema the Theory of Chain of Command kwenye System ya Governance ( Governance Structure).

Who reports to who..
Je, Msemaji Wizara ya Afya MOHCDGEC ni nani ? Je Dorothy aliwasiliana na technical team yake na kupata miongozo na itifaki kabla ya kuja kwa Public? Je Sirro hakujua namna ya kujibu maagizo ya serikali hata kama itifaki haikuzingatiwa.

Something is wrong, really kuanzia utawala wa nne. That is black and white.

Kuhusu kuongozwa na mwanamke, napenda kuwa muwazi katika hili ; I respect women very much , however linapokuja suala la uongozi na mamlaka ya juu kama nchi, especially wanawake wa Africa ambao hawajakuzwa kwenye CONFIDENCE na MATURITY ya SELF REALIZATION, I prefer wabaki kuwa WATENDAJI yaani level za PM, VP etc etc. Kwa wanawake wa nje it is okay kwa sababu wenzetu mifumo ya nchi inajiendesha na nchi inaweza kwenda bila hata Rais.

Kuna hii portion ya GENDER, we can’t deny the truth, Mama is not making it at all, and she is losing control out of control. She lives in a fantasy of being a president out of not knowing what else to do. It is very sad realizing that Tanzania has never been lucky .

Kama Watanzania tukifanikiwa kukitoa CCM, huenda tukaanza kuona NURU katika Tanzania. CCM has proven failure over and over again, Na hawana maajabu tena zaidi ya UPUMBAVU, they are all caints, As*hole.

CCM will never be the solution for the country. Ili ku solve shida za TZ, ni lazima creator wa hizo shida akae pembeni.

All in all I wish her the best ......I cherish for her, as a son.
 
Kuhusu kuongozwa na mwanamke, napenda kuwa muwazi katika hili ; I respect women very much , however linapokuja suala la uongozi na mamlaka ya juu kama nchi, especially wanawake wa Africa ambao hawajakuzwa kwenye CONFIDENCE na MATURITY ya SELF REALIZATION, I prefer wabaki kuwa WATENDAJI yaani level za PM, VP etc etc. Kwa wanawake wa nje it is okay kwa sababu wenzetu mifumo ya nchi inajiendesha na nchi inaweza kwenda bila hata Rais.

Kuna hii portion ya GENDER, we can’t deny the truth, Mama is not making it at all, and she is losing control out of control. She lives in a fantasy of being a president out of not knowing what else to do. It is very sad realizing that Tanzania has never been lucky . [emoji374][emoji19][emoji1752][emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548]
 
Kuna utofauti mkubwa sana kati ya serikali ya JPM na JK na SSH ila kuna tofauti ndogo sana kati ya serikali ya SSH na JK.
Serikali ya JK kulikuwa hakuna nidhamu kwa watumishi wa Serikali nakumbuka mawaziri walikua wakijibizana wenyewe kwa wenyewe huyu Nabomoa huyu Usibomoe na mambo mengine mengi JPM aliliona hili akalirekebisha kwa nguvu nyingi sana kwa mfumo wa kutumbua.
Baada ya mama kupokea kijiti cha JPM maisha yamerudi miaka 7 nyuma.

HII NCHI NGUMUUU 😭😭😭😭😭
 
Hao wanaomzunguka mnawaonea sana, kipindi cha late Magufuri hamkusema wanaomzunguka how bimkubwa?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…