Huyu Future JNL ni gundu au!? Kwanini hatoki..!?

Future hakai bongo mara nyingi anakuwaga ughaibuni afu ni moja wa watoto wakushure ambao hawategemei njaa za bongo fleva yy huwa anaimba tu kwa sababu amejua nakipaji ukitaka kuprove bata zake mtafte instagram utaona balaa lake maara wapo na tecno miles viwanja mara davido etc kiufupi future ni zaid ya mtoto wa kisure hawezi kuwaabudu akina ruge
 
Kati yake na davido nani wakshua zaidi?
Mbona davido yuko serious na mziki?
 
Naona jamaa anaimba kisukuma kidogo.
 
Acha usseng wewe Future...
Kama ulikuwa unaimba kibinafsi ...ungemuimbia demu wako geto...

Ushua ni mentality za kipumbavu...

Hivi Africa kuna mshua zaidi ya Kriss ....Falii..

!??
 
Acha usseng wewe Future...
Kama ulikuwa unaimba kibinafsi ...ungemuimbia demu wako geto...

Ushua ni mentality za kipumbavu...

Hivi Africa kuna mshua zaidi ya Kriss ....Falii..

!??
Kumbe nawe unajua msure anaekubinua kekundu ndo unajua ndie wakisure tu?
 
Kumbe nawe unajua msure anaekubinua kekundu ndo unajua ndie wakisure tu?

Video ya kwanza hiyo...nakutupia ya hao mnaowaita 'washua'...

..,...ntarudi....

Jipimeni sasa....na shobo zenu za ki ....a
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…