Huyu gambo anaboa

Joined
Feb 26, 2013
Posts
30
Reaction score
47
*Ukweli ni kwamba Gambo anaboa, he's too much. Unazuiaje ziara ya kamati ya mipango miji eti kuna waraka unaozuia? Hujui maudhui ya ziara, tumeooteza open spaces 2 Njiro tunataka kwenda kukagua anazuia, je zitarudije? Nani aende? Anazunguka kwenye kata na mitaa na kata alone bila madiwani wala meya tumueleweje? Ni kutaka sifa au uwajibikaji? Anasema anataka kuacha uongozi unaoacha alama, mbona alama anataka kuacha pekee? Si tuache wote? Nani ana uchungu na Arusha btwn us? He is too much, kwa muda mfupi the people are fed up. Kama siasa we are the gangs and he know. Tutatetea hadhi zetu kama madiwani wa jiji kwa gharama yoyote. LABDA ATUMIE POLISI KUDHIBITI. Ushauri wangu aache ubinafsi maana hakuna mwenye shida personal na yeye. Mbona we live better na RC na DC Fadhili aliyeondoka? He is young na tunaheshimu mamlaka yaliyomteua, hakuna linaloshindikana tukikaa na kukubaliana the way to go. ILA LA KUOELEKA GREDA, MAMLAKA YA MAJI NA TANESCO KWENYE MTAA WAKE LIMEMSHUSHA NA AMEDHARAULIKA. Halafu anatupeleka TAKUKURU kisa kuongezea posho ya kikao, JE YEYE TUMPELEKE THE HAGUE KWA KUTUMIA MALI YA UMMA VIBAYA? ANASEMA AMETOA LITA 300 ZA MAFUTA ANADHANI UONGOZI WA JIJI CHINI YA CHADEMA TUNA NJAA HIYO? HIZO KATA ULIZOVUNJA RATIBA YA GREDA HUKO SIO WANANCHI UNAOWAONGOZA? KWA NN HAKUSUBIRI RATIBA YA HUKO MURIET IFIKE?.................Tukiheshimiana, kusikilizana, kutambua mipaka yetu tutaishi kwa amani.
 
Sıku nyıngıne ukıanzısha uzı jarıbu kupangılıa katıka aya (paragraph)
 
Sıku nyıngıne ukıanzısha uzı jarıbu kupangılıa katıka aya (paragraph)
 
Huyu Gambo ni jipu tu anatafuta umaarufu kwa kupigana na vyama vingine, Arusha ilikuwa shwari sana kabla ya ujio wake, sasa anataka kurudisha Arusha ya Magesa Mulongo kupambana na chadema, aangalie mwenzake alifeli na sasa hana kazi. Huyu Gambo ndugu zake WARANGI ndio wamejaa Arusha kufanya biashara ya madawa ya kulevya lakini anapita vijiweni anakaa nao na kuwasikiliza wanavyoisifia ccm basi anaona sawa, mitaa ya MATEJOO NA NGARENARO warangi wanauza mirungi hadharani kabisa na analijua hili wakipelekwa mahakamani wanatoa rushwa kesi haziishi. WEWE GAMBO KAA NA HAWA NDUGU ZETU waambie waache mihadarati sio wakipelekwa polisi unawatoa kwa dhamana, hiis i haki. Fanya kazi kwa misingi ya sheria kama naibu waziri wa tamisemi alivyokuasa acha sifa. Warangi wanatia aibu sana Arusha sasa wewe ongea nao kirangi labda watakuelewa waache mihadarati na siasa za itikadi kali ya kidini.
 


Mkuu kama Arusha mumefikia hatua ya kutambuana kwa ukabila wenu basis shida kubwa sana iko tuombe Mungu hayo unayoyanena yasije kuwa mwiba huko tuendako
 
mnamuonea tu kwanini mstafute magari mengine mkaenda ziara hata kwa boda boda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…