Huyu Gentamycine wa JF ni nani haswa?

Mkuu sio bange / bangi bali ni wasiwasi.

Kuna vidonge vya kuondoa wasi wasi nimetumia muda si mrefu nitakuwa sina "wasi wasi" tena kuwa Mo si Gentamycine.

Mkuu naona leo ' umeniamulia ' kabisa. Haya bhana mshindi Wewe!
 
Naona umeamua kuja na ID nyingine kujifagilia

Hivi kwa aina ya ' Brand ID ' yangu ya GENTAMYCINE nina haja tena ya ' Kujifagilia ' hapa Jamvini? Kwahiyo kila ID itakayomuongelea GENTAMYCINE basi huo ' Uzi ' ameuanzisha mwenyewe. Kama ID yangu hii inaongelewa kuanzia Magogoni kwa mwenyewe ' Taita ' kabisa, Wasaidizi wake katika Taasisi zake, Maofisini, Mashuleni na hasa Vyuoni bila kusahau ndani ya Madaladala na Mwendokasi huku Kiongozi mmoja ' Kipenzi ' akichukizwa nayo mno na kila siku anadadisi sehemu mbalimbali Kunijua bado tena GENTAMYCINE ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' nina haja ya ' Kujifagilia ' kupitia au kuanzisha ID nyingine? Hivi kama mpaka kuna Members hapa wanadiriki Kujiita GENTAMYCINE huku wengine wakiiga Font Style yangu na hadi Picha hiyo ya Kipenzi changu Myahudi Waziri Mkuu BIBI au Benjamin Netanyahu bado nina sababu yoyote ile ya ' Kujifagilia ' Mkuu? Kwa leo naomba nikuache na haya machache ila tambua tu ya kwamba ' nilichobarikiwa ' nacho na Mwenyezi Mungu ni kikubwa na cha thamani sana na ndiyo maana unaona najiamini huku nikitiririka na kuserereka zangu bila wasiwasi.
 
hana cha uTISS wala nini.

hili popoma ni wannabe fulani hivi "linalojitia" kujua kila kitu...kilaza wa wahed.
 
Ni mtu ambaye mara anajitambua, mara anaonyesha uwezo mdogo mno wa kujitambua...
 
We unataka nn? Shida yako wewe ninj?

sent from this unknown device
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…