Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
huyo yupo mda tangu enzi za magu mwenyeweNimeona Somebody John Magufuli, ni mwendo wa kulipana fadhira tu
Nasikia alikuwa katibu tawala toka enzi za mzee wake.Ni mtoto wa mwenda zake wa mke wa 1 ambaye alitangulia mbele za hakiNimeona Somebody John Magufuli, ni mwendo wa kulipana fadhira tu
ni yule bonge nn?Nasikia alikuwa katibu tawala toka enzi za mzee wake.Ni mtoto wa mwenda zake wa mke wa 1 ambaye alitangulia mbele za haki
Unaona mkia wa mbuzi na bado unauliza??????Nimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye
Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na mwisho yanafanana, ili nimuulize yeye ni nani mpaka wamtoe mjomba wangu wawekwe wao tu ukoo mzima kusini waitawale wao tu View attachment 2648714
Nimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye
Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na mwisho yanafanana, ili nimuulize yeye ni nani mpaka wamtoe mjomba wangu wawekwe wao tu ukoo mzima kusini waitawale wao tu View attachment 2648714
Mbona majina yao tofautiNimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye
Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na mwisho yanafanana, ili nimuulize yeye ni nani mpaka wamtoe mjomba wangu wawekwe wao tu ukoo mzima kusini waitawale wao tu View attachment 2648714