Nimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye
Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na mwisho yanafanana, ili nimuulize yeye ni nani mpaka wamtoe mjomba wangu wawekwe wao tu ukoo mzima kusini waitawale wao tu View attachment 2648714
Tunajua mna kiherehere sana cha kujifanya mnauliza uliza maswali. Ngoja tuwapatie kinga TITH ili wakiwaueni wasiwe na hofu ya kuja kushitakiwa huko mbeleni.Nimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye
Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na mwisho yanafanana, ili nimuulize yeye ni nani mpaka wamtoe mjomba wangu wawekwe wao tu ukoo mzima kusini waitawale wao tu View attachment 2648714
Sikupingi unalozungumza ila mbona kama umerukia tren kwenye kichwa?Tunajua mna kuherehere sana cha kujifanya mnaulizaukiza maswali. Ngoja tuwapatie kinga TITH ili wakiwaueni wasiwe na hofu ya kuja kushitakiwa huko mbeleni.
Hawa TITH ndiyo KK Security na Wagner Group wetu watakao hakikisha tunakula nchi bila ya bughudha.
Hii mikataba na waarabu inaweza ikatuletea shida kama hatujawawekea Kinga ya kutosha watu wa TITH ili watukinde vizuri dhidi ya nyie mnaojufanya kuulizauliza humu
Bichwa langu gumu ndiyo maana hata likija treni nalikata Ndosi.Sikupingi unalozungumza ila mbona kama umerukia tren kwenye kichwa?
Naona watu mko nyuma sana ! Mnapoambiwa CCM ina wenyewe muwe mnaelewa jamani !Nimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye
Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na mwisho yanafanana, ili nimuulize yeye ni nani mpaka wamtoe mjomba wangu wawekwe wao tu ukoo mzima kusini waitawale wao tu View attachment 2648714
Huyu mbwa hatapata uteuziLucas mwashambwa hujateuliwa?
[emoji38][emoji38][emoji38] Akiteuliwa nani atatumikishwa kuleta uongo humu jf ?Lucas mwashambwa hujateuliwa?
Hawa watu hata shetani anawaogopaNaona watu mko nyuma sana ! Mnapoambiwa CCM ina wenyewe muwe mnaelewa jamani !
Sasa ni hivi , Nakusanya vielelezo halafu nitakuja na mkeka wa Watoto wote wa viongozi walio kwenye nafasi mbalimbali za uongozi .
Kama hujalia wewe utakuwa si binadamu
wewe endelea kulitumikia taifa kwa ujira mdogoNimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye
Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na mwisho yanafanana, ili nimuulize yeye ni nani mpaka wamtoe mjomba wangu wawekwe wao tu ukoo mzima kusini waitawale wao tu View attachment 2648714
Noma sana !Hawa watu hata shetani anawaogopa
Mjomba ako,jina lake tafadhali Ili tuone akili zake,isije kuwa anafanana akili na mpwa ake anayeshinda humu jf akihara utumboWamemtoa mjomba wangu ahsee kisa kuwatetea wakulima wa korosho
Alikuwepo toka enzi za magu huyu so kabakishwa sio ajira mpyaNimeona Somebody John Magufuli, ni mwendo wa kulipana fadhira tu
huyu ni kaka mkubwa wa Nape Nauye hahahahhahahahahhaNimeona kwenye mkeka wa wakurugenzi teuze Mpya na mabadiliko ya watendaji wa halmashauri jina hili la Geofrey Nauye ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Newala sehemu ambayo alikuwepo Anko wangu katolewa kawekwa yeye
Swali langu Je huyu ni ndugu na Nape maana naona majina ya Kati na mwisho yanafanana, ili nimuulize yeye ni nani mpaka wamtoe mjomba wangu wawekwe wao tu ukoo mzima kusini waitawale wao tu View attachment 2648714
Sio mm. Siwez kulamba matako ya watawala hata siku moja.Pole Mpwayungu Village kwa kukoswa...
Basi NIWANGESE Sasa hawa majamaa hawana ata huruma yani kila sehemu wanaenda Kwa connection tu sio sifahuyu ni kaka mkubwa wa Nape Nauye hahahahhahahahahha
Mwambie mjomba akalime korosho tu, hii nchi ina wenyewe.Wamemtoa mjomba wangu ahsee kisa kuwatetea wakulima wa korosho