kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
eti wanasema sio lazima mwana aonekane kwenye video eti, ukihoji kwanini unajibiwa acha kukariri, so inabidi tu tukubaline na style mpya ya kiba, audio story nyingine video story nyingine. kazi kwako mtazamaji
ndio mi nashangaa pale kwenye kioo anamuimbia nani wakati anajiona mwenyewe?..mimi nilipoiona mara ya kwanza nilidhani behind the scene kumbe kitu ndio kimeanza hicho dah!...