Huyu Hamza Johari CV yake ikoje na ni kabila gani

Huyu Hamza Johari CV yake ikoje na ni kabila gani

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Ndugu Watanzania wenzangu
Wikiendi imeenda vyama sana.

Embu kwenye kumjua Hutu jamaa wa DP World kwa Tanzania embu naomba atusadie

Nadhani sio mimi pekee nisiyemfahamuu vyema .

Maeneo ya msingi

1.Historia take
2.Tasisi alizowahi kuhudumu
3.na sasa nini Nani chini

Mwisho elimu yake ,kabila lake ,Mbara au Muunguja ,Mpemba
 
Ndugu Watanzania wenzangu
Wikiendi imeenda vyama sana.

Embu kwenye kumjua Hutu jamaa wa DP World kwa Tanzania embu naomba atusadie

Nadhani sio mimi pekee nisiyemfahamuu vyema .

Maeneo ya msingi

1.Historia take
2.Tasisi alizowahi kuhudumu
3.na sasa nini Nani chini

Mwisho elimu yake ,kabila lake ,Mbara au Muunguja ,Mpemba
Simjui
 
Ni mkurugenzi mkuu wa viwanja vya ndege. Na pia Ni yeye ndie aliyeingia kwenye majadiliano na watu wa dp world ,pia Ni mzanzibari na Zanzibar hakuna makabila Wala ukooo

Hamza ni mpuuz mmoja HV mjinga kuwai kutokeaa toka tupate uhuru

Najiuliza huyu bwana amewezaje kuwa mkurugenzi
 
Back
Top Bottom