Huyu hapa anayetazamiwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza mwenye Asili ya Asia

Huyu hapa anayetazamiwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza mwenye Asili ya Asia

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Rishi Sunak pichani chini anategemewa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza.
1585136845.png


Sunak alizaliwa katika mji wa Southampton mnamo mwaka wa 1980.

Wazazi wake wana asili ya nchi ya india, walihamia nchini Uingereza wakitokea nchini Tanzania kwenye miaka ya 1960.

Huyu jamaa ndiye anatizamiwa atakuwa Waziri mkuu mwenye asili ya india na wa kwanza kushika madaraka hayo makubwa nchini Uingereza.
 
Rishi Sunak pichani chini anategemewa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza.
View attachment 2396584

Sunak alizaliwa katika mji wa Southampton mnamo mwaka wa 1980.

Wazazi wake wana asili ya nchi ya india, walihamia nchini Uingereza wakitokea nchini Tanzania kwenye miaka ya 1960.

Huyu jamaa ndiye anatizamiwa atakuwa Waziri mkuu mwenye asili ya india na wa kwanza kushika madaraka hayo makubwa nchini Uingereza.

Waangalie yeti na zenji yasije wakawakuta hapa.

Hiiiiiiii !
 
Rishi Sunak pichani chini anategemewa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza.
View attachment 2396584

Sunak alizaliwa katika mji wa Southampton mnamo mwaka wa 1980.

Wazazi wake wana asili ya nchi ya india, walihamia nchini Uingereza wakitokea nchini Tanzania kwenye miaka ya 1960.

Huyu jamaa ndiye anatizamiwa atakuwa Waziri mkuu mwenye asili ya india na wa kwanza kushika madaraka hayo makubwa nchini Uingereza.
Baba yake ni mkenya

Mama yake ni Mtanzania wa Tanganyika
 
Huyu mhindi, acheni upotoshaji eti ana nasaba ya Tanzania. Watanzania wa kuzaliwa waturutumbi mnawanyima uraia pacha mnajidai huyu mhindi ni ana nasaba ya Tanzania... Kazaliwa Uingereza ni muingereza mwenye asili ya India....period.
Wazazi wake ni mkenya na Mtanganyika wa Tanzania acha mambo yako ya hovyo kbsa
 
Tatizo lake ni moja Tu. Anacheka Cheka hovyo huyu angepaswa awe receptionist wa 5 star Hotel
 
Acha Ubishi wewe Wazazi wake wakiume ni Mkenya na Wakike ni Mtanzania wa Tanganyika
Ulishaona mtanzania mhindi??? hao wahamiaji tu, ni sawa na mtu mweusi kujiita ni muingereza hapana ni muafrika tuu. Kwahio huyu ni mhindi na hajazaliwa Tanzania pia. Kwa kifupi haijui hata hio Tanzania ilipo,.
 
Back
Top Bottom