heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Anaitwa kinyambe,kwa wafuatiliaji wa bongo comedy watakubaliana nami kuwa huyu jamaa kwa sasa hana mpinzani,hatumii nguvu wala haforce kuchekesha kama kina nanii,ukimwona tu hata kabla hajongea lazma uvunjike mbavu,anaonekana kwenye kipind cha vituko show cha channel ten
Kwangu hamna kitu hapo
Labda. Mi nilidhani mchekeshaji mzuri haijalishi una shida au wallet imejaa ye ni kunichekesha tu... Huyu wa kucheka hadi niwe na hela hamna kituukichanganya shida zako za maisha wakati unaangalia comedy hata mr bean utamuona hamna kitu ila huyu kinyambe ni nyoko kibongobonggo we siku muangalie wakati wallet limetuna,hudaiwi wala husumbuliwi na maradhi na mapenzi hayakutesi ndo utajua jamaa anajua!
Kwangu hamna kitu hapo
Me simkubali kwakweli,hivi huyu ni mchekeshaji au chizi?Me nilikuwa najua ni chizi,sikujua kama kuna watu anawachekesha