Huyu hapa mr bean wa tz

Huyu hapa mr bean wa tz

Kwahiyo kama haitaj jnsia mwenye kuchukia kitu bac anamimba changa!!!inamaana profile pic pia huon au sababu mama yako anavaa suruali basi kila anayevaa unamuona mwanamke!?acha kukurupuka ukijibu comment za wanaume au kwa kua wanakutumia unadhani woote tabia yetu moja tuko tofaut kama mm ctumii huduma za wanaume wenzangu kama vp jaribu kwa wengine

Kama umeweka picha ya mumeo mimi nitajuaje? Halafu mshua boi nina macho mabovu huwa sioni vipicha vidogo...

Kuhusu kutumiwa usiwaze, kuna wenzio wamejengewa nyumba kwa ajili ya kutoa pembejeo.
 
Kama umeweka picha ya mumeo mimi nitajuaje? Halafu mshua boi nina macho mabovu huwa sioni vipicha vidogo...

Kuhusu kutumiwa usiwaze, kuna wenzio wamejengewa nyumba kwa ajili ya kutoa pembejeo.

.......Vipi wakuu ! Ni waandalie mpambano ? ....mimi ni promotor niliyesajiliwa !
 
.......Vipi wakuu ! Ni waandalie mpambano ? ....mimi ni promotor niliyesajiliwa !

Pambano na mtoto wa kike siwezi, hata vitabu vya dini vimekataza kugombana na viumbe hawa dhaifu...
 
:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
Anaitwa kinyambe,kwa wafuatiliaji wa bongo comedy watakubaliana nami kuwa huyu jamaa kwa sasa hana mpinzani,hatumii nguvu wala haforce kuchekesha kama kina nanii,ukimwona tu hata kabla hajongea lazma uvunjike mbavu,anaonekana kwenye kipind cha vituko show cha channel ten
 
Back
Top Bottom