Huyu hapa mtoto wa Mshana jr

Hiyo mkono iliyomshika huyo mtoto![emoji3][emoji3]
 
Kwaiyo mkuu wewe si unaamini Mungu anakulinda kajitupe gorofani tuone Mungu yupo anatulinda ila lazima na wewe ujilinde
mimi co mkuu plz..am prety.....co kujilinda ki uchawi na mihirizi kibao..mbingu huwez iona kwa namna hyo
 
Hii ya kukanyagwa kitovu na mjomba ni serious au masihara?

Mie niliekuwa kipindi mabibi na mababu zetu bado wanafanya mila kama sehemu ya maisha yao, nilikuwa nawasikia wazee wakiwaaambia wazazi wa wenye watoto ambao vitovu vyao vimetoka nje, kuwa mjomba wa huyo mtoto akikanyaga hicho kitovu kwa kisigino basi kitovu hurudi ndani.

Those were hear says sikuwahi shuhudia mtoto ambae kitovu chake kilikuwa kikubwa baadae kikarudi ndani.

Ni sawa na ile mama mjamzito asikae mlangoni kama kupumzika akifanya hivo wakati wa kujifungua mtoto atakwama njiani hatatoka.

Sijui kama ina ukweli I grew up hearing such myths.

I hope I have cleared the doubt Mr Miller
 


Hii ya kukanyagwa kitovu na mjomba ni serious au masihara?
ha ha ha hiyo ya mjomba kukanyaga kitovu kwa kisigino haina tofauti na kuvaa hirizi.
Imani moja potofu
 
Isije kuwa ni mtoto wa yule mvaa hirizi mashuhuri nchini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…