Mkuu kwani wachaga ni magogo kitandani?niliwahi kuingia kwenye anga za mdada wa kichaga kutoka Marangu yani ilikua ni shida,alikua ni fundi hatari.Kukatika? Kwani uwoya si mchaga?
Hivi wanajf wamejuaje kama jamaa ni nguli wa kufumua marinda?Boss wa danube tusamehe tu kwa kukusingizia jomoni
Kuna watu wanaamini used ni bora kuliko original ambazo wakati mwingine ni fakeHuyo jamaa kama anahela ameshindwa kupata demu shombeshombe wa kinyarwanda mpk kuchukua kitu used!
Haha haaa ..Wacongo,Warundi na Wanyarwanda wanawapenda sana wanawake wa Tanzania,na sifa ya kuwapenda ni moja tu inayowapagawisha hao jamaa,sifa yenyewe ni mikatiko ya kitandani.Maana wataalumu wa mambo hayo wanasema kwamba hapa chini ya jua ukimtaka mwanamke mwenye sanaa ya kitandani basi nenda Tanzania maana huko ni wote wanajua ufundi huo.
Mkuu maneno makari haya hayafai tuwe na kiasi cha lugha zenye staha nimeogopa ingawa unisamehe kama utakwazika usifanye hivyo tena nakuomba mimi ukijua umechukia jipe muda harafu utachangiaKwani nimekushikia marinda yasiende kutenguliwa!??
Hao wanyarwanda wote mabikra?Huyo jamaa kama anahela ameshindwa kupata demu shombeshombe wa kinyarwanda mpk kuchukua kitu used!
Wivu unakusumbua...sentensi kama hii nilitegemea kuona inatoka kwa mwanamke ila ikitoka kwa mtoto wa kiume inaleta shaka kidogoNdo nini kwenda kuoa sampoma hilo
Lkn usimpangie mtu bana na hela zake
Ni kwa sababu gani? Au kwa vile viwonder vimetushinda tunawekeza akili, nguvu na muda kwenye kukulana? Nawaza tuWacongo,Warundi na Wanyarwanda wanawapenda sana wanawake wa Tanzania,na sifa ya kuwapenda ni moja tu inayowapagawisha hao jamaa,sifa yenyewe ni mikatiko ya kitandani.Maana wataalumu wa mambo hayo wanasema kwamba hapa chini ya jua ukimtaka mwanamke mwenye sanaa ya kitandani basi nenda Tanzania maana huko ni wote wanajua ufundi huo.
HeheheMbona babaako ameshindwa kuoa shombe shombe akaangukia kwa Mamaako?
Lazima mmojawapo alikula hapoHivi hawa jamaa walimuacha salama kweli, maana nikikumbuka ile mitego kwenye muvi ya Oprah sio ya nchi Hii View attachment 620388
Sasa hela ndo umezifata huku celebrities forum? Hujaona jukwaa la biashara? OvyoooTunafikiri tutapataje ela wengine mnawaza ujinga ujinga sijui mume wa uwoya anatuhusu nini ss