Huyu hapa mume wa Irene Uwoya

Huyu hapa mume wa Irene Uwoya

Hivi hawa jamaa walimuacha salama kweli, maana nikikumbuka ile mitego kwenye muvi ya Oprah sio ya nchi Hii
Kanumba-kushoto-na-Ray..jpg
 
Wacongo,Warundi na Wanyarwanda wanawapenda sana wanawake wa Tanzania,na sifa ya kuwapenda ni moja tu inayowapagawisha hao jamaa,sifa yenyewe ni mikatiko ya kitandani.Maana wataalumu wa mambo hayo wanasema kwamba hapa chini ya jua ukimtaka mwanamke mwenye sanaa ya kitandani basi nenda Tanzania maana huko ni wote wanajua ufundi huo.
Haha haaa ..
Kwa hivyo yale mauno ya wacheza show wa kikongo ni jukwasni tu? Wakwekewa uzito wa sausage hoi!!!
 
Tunafikiri tutapataje ela wengine mnawaza ujinga ujinga sijui mume wa uwoya anatuhusu nini ss
 
Wacongo,Warundi na Wanyarwanda wanawapenda sana wanawake wa Tanzania,na sifa ya kuwapenda ni moja tu inayowapagawisha hao jamaa,sifa yenyewe ni mikatiko ya kitandani.Maana wataalumu wa mambo hayo wanasema kwamba hapa chini ya jua ukimtaka mwanamke mwenye sanaa ya kitandani basi nenda Tanzania maana huko ni wote wanajua ufundi huo.
Ni kwa sababu gani? Au kwa vile viwonder vimetushinda tunawekeza akili, nguvu na muda kwenye kukulana? Nawaza tu
 
Back
Top Bottom