Huyu hapa mume wa Irene Uwoya

Tanzania. Ndo nchi inayoongoza kwa wananchi wake kupenda kujua Mambo ya wenzao kuliko yao.
 
Mmmmh na hizi lawama za wanaume kusema sisi ni magogo kitandani yanatoka wapi
 
Huyusi alishaolewa na mchezaji wa simba enzi hizo anaitwa ndikumana au mimi nimechanganya mambo?
 
anapenda muhogo wa jang'ombe huyo.HB ana dudu ,ndik ana siraha ya maangamizi kwahiyo na huyo itakuwa ni hatari kwani ana bwawa la kuogelea
 
Hivi hawa jamaa walimuacha salama kweli, maana nikikumbuka ile mitego kwenye muvi ya Oprah sio ya nchi Hii View attachment 620388
Mmojawapo kati ya hao ndio alimuunganishia Ndikumana huyo bimdashi,unaambiwa Ndiku alapoiona ile filamu ya Ophra akapagawa na mapigo ya uwoya,so ikabidi amtafute swahiba yake kati ya hao nadhan ni Ray akamweleza hali halisi ya amemwelewa huyo manzi kinoma ikabidi Ray awakutanishe
 
yaan wanawake wooote,dogo ndo kaona bonge la demu huyu,
angalau angeenda hata kule pangani tanga akachukua kitu cha kueleweka,hata bure huyo demu mimi sili,kweli kama hujadili di na mademu wakati fulani lazima ushanaze ulimwengu kwa maamuzi yako ya hovyo hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…