Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sasa hela ndo umezifata huku celebrities forum? Hujaona jukwaa la biashara? OvyoooTunafikiri tutapataje ela wengine mnawaza ujinga ujinga sijui mume wa uwoya anatuhusu nini ss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hela ndo umezifata huku celebrities forum? Hujaona jukwaa la biashara? OvyoooTunafikiri tutapataje ela wengine mnawaza ujinga ujinga sijui mume wa uwoya anatuhusu nini ss
Mmmmh na hizi lawama za wanaume kusema sisi ni magogo kitandani yanatoka wapiWacongo,Warundi na Wanyarwanda wanawapenda sana wanawake wa Tanzania,na sifa ya kuwapenda ni moja tu inayowapagawisha hao jamaa,sifa yenyewe ni mikatiko ya kitandani.Maana wataalumu wa mambo hayo wanasema kwamba hapa chini ya jua ukimtaka mwanamke mwenye sanaa ya kitandani basi nenda Tanzania maana huko ni wote wanajua ufundi huo.
Mmmmh na hizi lawama za wanaume kusema sisi ni magogo kitandani yanatoka wapi
Mmmh ushamuonja?Huyo kapotea.... Hilo dubwana la kichagga... Ni macho tu.... Mambo mengine zeeeeeroooo.... Atakif mwenyewe
Kwani uwoya mbaya?Huyo jamaa kama anahela ameshindwa kupata demu shombeshombe wa kinyarwanda mpk kuchukua kitu used!
Yaan weweMbona babaako ameshindwa kuoa shombe shombe akaangukia kwa Mamaako?
Ile ndoa sidhani kama hata mwaka ilimaliza, waliachana zamaniHuyusi alishaolewa na mchezaji wa simba enzi hizo anaitwa ndikumana au mimi nimechanganya mambo?
Jukwaa la biashara lina hela?Sasa hela ndo umezifata huku celebrities forum? Hujaona jukwaa la biashara? Ovyooo
Watu wa humu hhhhaaaJukwaa la biashara lina hela?
Tusaidie kwanza wewe ili kupunguza maswali dada,jee wewe ni gogo kitandani?Mmmmh na hizi lawama za wanaume kusema sisi ni magogo kitandani yanatoka wapi
Mmojawapo kati ya hao ndio alimuunganishia Ndikumana huyo bimdashi,unaambiwa Ndiku alapoiona ile filamu ya Ophra akapagawa na mapigo ya uwoya,so ikabidi amtafute swahiba yake kati ya hao nadhan ni Ray akamweleza hali halisi ya amemwelewa huyo manzi kinoma ikabidi Ray awakutanisheHivi hawa jamaa walimuacha salama kweli, maana nikikumbuka ile mitego kwenye muvi ya Oprah sio ya nchi Hii View attachment 620388
Mim sijawah to.mba mkuuTusaidie kwanza wewe ili kupunguza maswali dada,jee wewe ni gogo kitandani?
Tuanzie hapo kwanza.
Lina ideas za kupata hela, japo ye anataka "ela"Jukwaa la biashara lina hela?