gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
What the heck is this!Boss wa danube tusamehe tu kwa kukusingizia jomoni
Acha buana. Kwani wachaga hawanaga huo utamaduni?Kukatika? Kwani uwoya si mchaga?
Zinatoka kwa m1mmoja.Mmmmh na hizi lawama za wanaume kusema sisi ni magogo kitandani yanatoka wapi
Used siyo ubaya, used ni kwisha tumika.Kwani uwoya mbaya?
Mi nahisi woteLazima mmojawapo alikula hapo
Hahaha waweza kuwa sahihi piaMi nahisi wote
Hata wachaga?Wacongo,Warundi na Wanyarwanda wanawapenda sana wanawake wa Tanzania,na sifa ya kuwapenda ni moja tu inayowapagawisha hao jamaa,sifa yenyewe ni mikatiko ya kitandani.Maana wataalumu wa mambo hayo wanasema kwamba hapa chini ya jua ukimtaka mwanamke mwenye sanaa ya kitandani basi nenda Tanzania maana huko ni wote wanajua ufundi huo.
Kwanini unauliza hata wachaga kuwa wachaga sio wa tz au wao hawafahamu huo ufundiHata wachaga?
Wanasemaga vitu used ni imara sana.Huyo jamaa kama anahela ameshindwa kupata demu shombeshombe wa kinyarwanda mpk kuchukua kitu used!
Kwana wachaga sii watanzania?Hata wachaga?
Ila uwoya sio mchaga Wolper ndo mchagaKwana wachaga sii watanzania?
HahahahahagahahaUna nyumba na watu wanaishi...
Kamanda Pangani ndio kuna wanawake wa kueleweka nin?yaan wanawake wooote,dogo ndo kaona bonge la demu huyu,
angalau angeenda hata kule pangani tanga akachukua kitu cha kueleweka,hata bure huyo demu mimi sili,kweli kama hujadili di na mademu wakati fulani lazima ushanaze ulimwengu kwa maamuzi yako ya hovyo hovyo.
Ameuza ukristo kafuata pesa na ndio laana inaambatana naye endelea kumuombeaYani Kweli Irene amesilimu na kimkana YESU na kujiita SHEILA, kweli kabisa?
Hajui kwamba Yesu alisulubiwa kwaajili yake?
La pili ndio jibuKwanini unauliza hata wachaga kuwa wachaga sio wa tz au wao hawafahamu huo ufundi