Huyu hapa mume wa Irene Uwoya

Huyu hapa mume wa Irene Uwoya

Wacongo,Warundi na Wanyarwanda wanawapenda sana wanawake wa Tanzania,na sifa ya kuwapenda ni moja tu inayowapagawisha hao jamaa,sifa yenyewe ni mikatiko ya kitandani.Maana wataalumu wa mambo hayo wanasema kwamba hapa chini ya jua ukimtaka mwanamke mwenye sanaa ya kitandani basi nenda Tanzania maana huko ni wote wanajua ufundi huo.
Hata wachaga?
 
Huyo jamaa kama anahela ameshindwa kupata demu shombeshombe wa kinyarwanda mpk kuchukua kitu used!
Wanasemaga vitu used ni imara sana.

Kanunue spares used kutoka USA na mwenzio anunue mpya kutoka China ndio utaelewa[emoji23]
 
yaan wanawake wooote,dogo ndo kaona bonge la demu huyu,
angalau angeenda hata kule pangani tanga akachukua kitu cha kueleweka,hata bure huyo demu mimi sili,kweli kama hujadili di na mademu wakati fulani lazima ushanaze ulimwengu kwa maamuzi yako ya hovyo hovyo.
Kamanda Pangani ndio kuna wanawake wa kueleweka nin?
 
Yani Kweli Irene amesilimu na kimkana YESU na kujiita SHEILA, kweli kabisa?
Hajui kwamba Yesu alisulubiwa kwaajili yake?
 
4ad2a69c2e2d176adb02f5b35aa48010.jpg
 
Yani Kweli Irene amesilimu na kimkana YESU na kujiita SHEILA, kweli kabisa?
Hajui kwamba Yesu alisulubiwa kwaajili yake?
Ameuza ukristo kafuata pesa na ndio laana inaambatana naye endelea kumuombea
 
Back
Top Bottom