Huyu hapa Patriki pacha wa Diamond

Huyu hapa Patriki pacha wa Diamond

Siyo kwamba wanasema mlima Kili' ni wa kwao but they know the history..., inasemekana kuwa kabla hata ya ujio wa wazungu( wakoloni) mlima Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Kenya lakn Mombasa ilikuwa ni sehem ya Tanganyika,kwenye kpnd cha Ukoloni (During colonial era) Mombasa ilikuwa iliwekwa kwenye upande wa Kenya Kijiografia na kiutawala wakati Mlima Kilimanjaro uliwekwa Tanganyika kiutawala na hata kijiografia
Soon after Independence,watawala wa kipnd hicho kwa maana ya MWLM Jk na Baba wa Taifa LA Kenya wakakubaliana kuwa "ili kuepusha migogoro ni vema wakenya wakachukua Mombasa na Watanganyika wakachukua Mlima Kilimanjaro"
Lkn wakenya ni wajanja sana baada ya miaka mingi wakaweka kwenye maandishi kuwa mlima Kilimanjaro ni Mali yao na jambo hili ipo siku litaleta kelele sana..,tunzeni maandiahi haya!
Acha uwongo wa kijinga,
 
kwann msiseme Diamond kafanana na Patrick!![emoji38]
 
Siyo kwamba wanasema mlima Kili' ni wa kwao but they know the history..., inasemekana kuwa kabla hata ya ujio wa wazungu( wakoloni) mlima Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Kenya lakn Mombasa ilikuwa ni sehem ya Tanganyika,kwenye kpnd cha Ukoloni (During colonial era) Mombasa ilikuwa iliwekwa kwenye upande wa Kenya Kijiografia na kiutawala wakati Mlima Kilimanjaro uliwekwa Tanganyika kiutawala na hata kijiografia
Soon after Independence,watawala wa kipnd hicho kwa maana ya MWLM Jk na Baba wa Taifa LA Kenya wakakubaliana kuwa "ili kuepusha migogoro ni vema wakenya wakachukua Mombasa na Watanganyika wakachukua Mlima Kilimanjaro"
Lkn wakenya ni wajanja sana baada ya miaka mingi wakaweka kwenye maandishi kuwa mlima Kilimanjaro ni Mali yao na jambo hili ipo siku litaleta kelele sana..,tunzeni maandiahi haya!


Story za kijiwe cha ndumu hizi.
 
Siyo kwamba wanasema mlima Kili' ni wa kwao but they know the history..., inasemekana kuwa kabla hata ya ujio wa wazungu( wakoloni) mlima Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Kenya lakn Mombasa ilikuwa ni sehem ya Tanganyika,kwenye kpnd cha Ukoloni (During colonial era) Mombasa ilikuwa iliwekwa kwenye upande wa Kenya Kijiografia na kiutawala wakati Mlima Kilimanjaro uliwekwa Tanganyika kiutawala na hata kijiografia
Soon after Independence,watawala wa kipnd hicho kwa maana ya MWLM Jk na Baba wa Taifa LA Kenya wakakubaliana kuwa "ili kuepusha migogoro ni vema wakenya wakachukua Mombasa na Watanganyika wakachukua Mlima Kilimanjaro"
Lkn wakenya ni wajanja sana baada ya miaka mingi wakaweka kwenye maandishi kuwa mlima Kilimanjaro ni Mali yao na jambo hili ipo siku litaleta kelele sana..,tunzeni maandiahi haya!
Maandiko yapi yakutunza?
 
Siyo kwamba wanasema mlima Kili' ni wa kwao but they know the history..., inasemekana kuwa kabla hata ya ujio wa wazungu( wakoloni) mlima Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Kenya lakn Mombasa ilikuwa ni sehem ya Tanganyika,kwenye kpnd cha Ukoloni (During colonial era) Mombasa ilikuwa iliwekwa kwenye upande wa Kenya Kijiografia na kiutawala wakati Mlima Kilimanjaro uliwekwa Tanganyika kiutawala na hata kijiografia
Soon after Independence,watawala wa kipnd hicho kwa maana ya MWLM Jk na Baba wa Taifa LA Kenya wakakubaliana kuwa "ili kuepusha migogoro ni vema wakenya wakachukua Mombasa na Watanganyika wakachukua Mlima Kilimanjaro"
Lkn wakenya ni wajanja sana baada ya miaka mingi wakaweka kwenye maandishi kuwa mlima Kilimanjaro ni Mali yao na jambo hili ipo siku litaleta kelele sana..,tunzeni maandiahi haya!
aiseeh ivi kabla ya ujio wa wakoloni kulikuwa na mipaka ya nchi.

ivi kusuruhisha migigoro wanafata mipaka ipi iliyo wekwa na wakoloni kipindi cha kuligawa bara la afrika ama iyo inayo sema ya nyerere na nani sijui

aya unasema nyerere akakaa nao kusuruhish mgogoro wao wakachukua mombasa nasi tukachukua kilimanjaro. hapo hapo unasema wao wakaweka kwenye maandishi mlima ni wao (haya maandishi waliweka peke yao, )

porojo tu
 
Siyo kwamba wanasema mlima Kili' ni wa kwao but they know the history..., inasemekana kuwa kabla hata ya ujio wa wazungu( wakoloni) mlima Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Kenya lakn Mombasa ilikuwa ni sehem ya Tanganyika,kwenye kpnd cha Ukoloni (During colonial era) Mombasa ilikuwa iliwekwa kwenye upande wa Kenya Kijiografia na kiutawala wakati Mlima Kilimanjaro uliwekwa Tanganyika kiutawala na hata kijiografia
Soon after Independence,watawala wa kipnd hicho kwa maana ya MWLM Jk na Baba wa Taifa LA Kenya wakakubaliana kuwa "ili kuepusha migogoro ni vema wakenya wakachukua Mombasa na Watanganyika wakachukua Mlima Kilimanjaro"
Lkn wakenya ni wajanja sana baada ya miaka mingi wakaweka kwenye maandishi kuwa mlima Kilimanjaro ni Mali yao na jambo hili ipo siku litaleta kelele sana..,tunzeni maandiahi haya!
Eti nilisikia Gavana wa ki-Jerumani alipewa mlima Kilimanjaro kama birthday present Mtawala wa Uingereza wa wakati huo.

Mombasa ilibadilishwa kwa Zanzibar na wa Portuguese ambao walijenga Fort Jesus Mombasa hii ilikuwa ng'ombe inara sana. Walimkadhi Suktan Zanzibar na Pemba na kuahidi kutomwingilia jama atawaachia Mombasa.
 
Wakenya hawachelewi kusema Diamond ni mkenya, maana hata Mlima Kilimanjaro walijaribu kuuhamishia kwao
Walishasema mkuu[emoji23][emoji23]wakenya sio watu wazuri,hata dr shika watasema ni wao
 
Siyo kwamba wanasema mlima Kili' ni wa kwao but they know the history..., inasemekana kuwa kabla hata ya ujio wa wazungu( wakoloni) mlima Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Kenya lakn Mombasa ilikuwa ni sehem ya Tanganyika,kwenye kpnd cha Ukoloni (During colonial era) Mombasa ilikuwa iliwekwa kwenye upande wa Kenya Kijiografia na kiutawala wakati Mlima Kilimanjaro uliwekwa Tanganyika kiutawala na hata kijiografia
Soon after Independence,watawala wa kipnd hicho kwa maana ya MWLM Jk na Baba wa Taifa LA Kenya wakakubaliana kuwa "ili kuepusha migogoro ni vema wakenya wakachukua Mombasa na Watanganyika wakachukua Mlima Kilimanjaro"
Lkn wakenya ni wajanja sana baada ya miaka mingi wakaweka kwenye maandishi kuwa mlima Kilimanjaro ni Mali yao na jambo hili ipo siku litaleta kelele sana..,tunzeni maandiahi haya!


naona watu walikua wanagawana milima kama unampa mtu kuku hahahaha!!!!
Wewe chukua mlima mimi nipe mombasa, najiuliza tu why mzee kenyata aliichagua mombasa over mt.kilimanjaro ........???
 
Kafanana kwa kiasi flan pua,muonekano wa macho na mdomo ila yeye hana ile [emoji105] denda nene nene km ya chibu mwenyewe.
 
Siyo kwamba wanasema mlima Kili' ni wa kwao but they know the history..., inasemekana kuwa kabla hata ya ujio wa wazungu( wakoloni) mlima Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Kenya lakn Mombasa ilikuwa ni sehem ya Tanganyika,kwenye kpnd cha Ukoloni (During colonial era) Mombasa ilikuwa iliwekwa kwenye upande wa Kenya Kijiografia na kiutawala wakati Mlima Kilimanjaro uliwekwa Tanganyika kiutawala na hata kijiografia
Soon after Independence,watawala wa kipnd hicho kwa maana ya MWLM Jk na Baba wa Taifa LA Kenya wakakubaliana kuwa "ili kuepusha migogoro ni vema wakenya wakachukua Mombasa na Watanganyika wakachukua Mlima Kilimanjaro"
Lkn wakenya ni wajanja sana baada ya miaka mingi wakaweka kwenye maandishi kuwa mlima Kilimanjaro ni Mali yao na jambo hili ipo siku litaleta kelele sana..,tunzeni maandiahi haya!

Mh!
Tango pori
 
Siyo kwamba wanasema mlima Kili' ni wa kwao but they know the history..., inasemekana kuwa kabla hata ya ujio wa wazungu( wakoloni) mlima Kilimanjaro ulikuwa ni sehemu ya Kenya lakn Mombasa ilikuwa ni sehem ya Tanganyika,kwenye kpnd cha Ukoloni (During colonial era) Mombasa ilikuwa iliwekwa kwenye upande wa Kenya Kijiografia na kiutawala wakati Mlima Kilimanjaro uliwekwa Tanganyika kiutawala na hata kijiografia
Soon after Independence,watawala wa kipnd hicho kwa maana ya MWLM Jk na Baba wa Taifa LA Kenya wakakubaliana kuwa "ili kuepusha migogoro ni vema wakenya wakachukua Mombasa na Watanganyika wakachukua Mlima Kilimanjaro"
Lkn wakenya ni wajanja sana baada ya miaka mingi wakaweka kwenye maandishi kuwa mlima Kilimanjaro ni Mali yao na jambo hili ipo siku litaleta kelele sana..,tunzeni maandiahi haya!
Sasa kabla ya ukoloni kulikuwa na mipaka ya nchi?
 
Back
Top Bottom