Huyu Hapa shabiki wa Simba aliyefariki ktk ajali akitokea Dodoma

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253

Pumzika kwa amani Shose Wazza Scholes Fidelis, msichana aliyefariki katika ajali ya gari akitokea kuitazama timu yake Simba kutoka Dodoma. Alikuwa ni shabiki mkubwa wa Soka akisapoti timu za Simba na Manchester United.
 
R.I.P sintokuona tena fb dada yangu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Doh gone too soon,..R.I.P MISS SIMBA,Mungu akupe amani ya ahera
 
Hapa ndipo tunapotakiwa kumuogopa mungu na kumsujudia mipango yote anayo mwenyewe,mwenyezi mungu awape subra familia ya marehemu katika wakati huu mgumu!
 
R.I.P shabiki wa mnyama na mashetani wekundu
ila simba kwanini wasingetafuta hata digi digi kwa kazi
hiyo kuliko.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…