hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 399
- 992
Saana, ila kumpata kazii, last year tulitaka kumualika kwenye tamasha akasema ratiba yake iko mpaka baada ya miezi sita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa naona anaimba Pure Swahili Gospel kali sana ni muimbaji mzuri sana na anachonifurahisha ameacha lugha yake ya kinyarwanda kakichagua kiswahili kufikisha ujumbe wake last time nilijua ni Mtanzania
View: https://youtu.be/qI1yCpa4UFE?feature=shared
Mungu ambariki[emoji120]
Yanifanya niwe jasiri 😊Nina Siri Naye Yesu 😃😃
kwa amani nayo dhikiYanifanya niwe jasiri 😊
Yanifanya niwe jasiri 😊kwa amani nayo dhiki
Yaniburudisha...Yanifanya niwe jasiri 😊
Jamaa naona anaimba Pure Swahili Gospel kali sana ni muimbaji mzuri sana na anachonifurahisha ameacha lugha yake ya kinyarwanda kakichagua kiswahili kufikisha ujumbe wake last time nilijua ni Mtanzania
View: https://youtu.be/qI1yCpa4UFE?feature=shared
Mungu ambariki[emoji120]
waambie wanaolia, wakiteswa na walimwenguYaniburudisha...
Nikiruka ruka...
Hosanna Amen🎵
Eti dogo wanadai wewe na mwamba raraa reree ni maroboti. Hivi hizi tuhuma ni za kweli?Picha yake tafadhali.
Waonjeni Neema yake na Rehema yake Mwokozi.....waambie wanaolia, wakiteswa na walimwengu
SanaaaaaAnajua sana aisee
Watafunguliwa watawekwa huru, Hosana AmenWaonjeni Neema yake na Rehema yake Mwokozi.....