Huyu Israel Mbonyi ni Mrwanda kweli?

Anaimba kiswahili ili kufikisha ujumbe kwa watu wengi na kupata wafuasi wengi wa nyimbo zake maana East Africa yote anaigusa ,na wazungumzaji wa kiswahili ni wengi zaidi East Africa kuliko kuimba kinyarwanda pekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…