Huyu Jaden Smith amekumbwa na nini?

Alikuwa anasumbuliwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana tatizo ni namna tu anavyojiweka. Kuna trend ya kubadili muonekano kwa wasanii wakimarekani kwa kujibadili muonekano ambao ni mbaya

Wasanii wengi wa trap (mumble rappers) wamebadili mionekano yao wanafanya kama fashion kama kina tekashi, uzi, lip peep, lil pump yaani muonekano wao una elements flani za ki-gay. naona naye dogo akaamua aige
 
Du!maisha haya
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh hii dunia ina mambo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…