Duu
Hizo habari zilivuma tu lakini sijui Kama zinaukweli wowote
Jamaa mbona Yuko vizuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameanza ku-recover saizi, mwanzo ilikua hatari mashabiki wake ikabidi waingilie kati ndo taratibu changes zimeanza kuonekana
Hana tatizo ni namna tu anavyojiweka. Kuna trend ya kubadili muonekano kwa wasanii wakimarekani kwa kujibadili muonekano ambao ni mbaya
Huyu mtoto mpunga.. watu wanakula wali ama ubwabwa wa Nazi.
Hana tatizo ni namna tu anavyojiweka. Kuna trend ya kubadili muonekano kwa wasanii wakimarekani kwa kujibadili muonekano ambao ni mbaya
Wasanii wengi wa trap (mumble rappers) wamebadili mionekano yao wanafanya kama fashion kama kina tekashi, uzi, lip peep, lil pump yaani muonekano wao una elements flani za ki-gay. naona naye dogo akaamua aige
[emoji16][emoji16][emoji16]Mapunga huwa wakinza kubanduliwa marinda wanachoka na kukonda sana.
Duh hii dunia ina mambo.Hana tatizo ni namna tu anavyojiweka. Kuna trend ya kubadili muonekano kwa wasanii wakimarekani kwa kujibadili muonekano ambao ni mbaya
Wasanii wengi wa trap (mumble rappers) wamebadili mionekano yao wanafanya kama fashion kama kina tekashi, uzi, lip peep, lil pump yaani muonekano wao una elements flani za ki-gay. naona naye dogo akaamua aige
[emoji849][emoji849][emoji849]huo ukondefu unasababishwa na nini sasa?Mapunga huwa wakianza kubanduliwa marinda wanachoka na kukonda sana.
Mtu anaefanya ngono kinyume na maumbile ana hatari kubwa Sana ya kupata HIV/AIDS. Ndo maana USA wanaamini HIV is for gays.Mapunga huwa wakianza kubanduliwa marinda wanachoka na kukonda sana.
Akina lily 😀😀uzi, lip peep, lil pump
Ni kweli USA ni ugonjwa wa mashoga.Mtu anaefanya ngono kinyume na maumbile ana hatari kubwa Sana ya kupata HIV/AIDS. Ndo maana USA wanaamini HIV is for gays.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ni nini kwa kweli wengi wanakonda sana we waangalie mashoga wengi ni wembamba na wamechoka!!![emoji849][emoji849][emoji849]huo ukondefu unasababishwa na nini sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huko Bongo hata wanaopiga pipe mbele bado wanakwenda na majiNi kweli USA ni ugonjwa wa mashoga.