Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Kwa Afrika -Chini ya Jangwa la sahara maambukizi ya ngoma ni kubwa sana na ndio maana watu wengi wanadanja kwa ngoma kwasababu ya kupiga pipe mbele bila kinga ila kwa state ukimwi ni mchache na walio nao wengi ni mashoga.Mbona huko Bongo hata wanaopiga pipe mbele bado wanakwenda na maji
Ok, kumbe hana hizo mamboHiyo issue aliyosema Tyler ni boyfriend wake ilikuwa ni utani. Tyler pia amelitolea ufafanuzi mara nyingi. Na kwenye hiyo show alikuwa na girlfriend wake.
OK kumbe tetesi za kutoka na huyo jamaa alikuwa uzushi tu,vipi kuhusu afya naona kama amebadilika sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni nani na umaarufu wake unatokana na nini ? ,kusema ukweli simfahamu ila jina siyo geni kwangu .
😂 😂 😂 😂 😂 😂Huyo dogo si nilisikia ame confirm kwamba Kisamvu kinapakuliwa
But karma never losses its adress, mshua wake kachezea sana mirefeji ya wenzake sasa naona karma inamua kufata tu adress yake
Siyo tetesi huyo dogo aliweka wazi kuwa yeye ni shoga na anayemla ni huyo jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa Will Smith,anacheza movie piaHuyo ni nani na umaarufu wake unatokana na nini ? ,kusema ukweli simfahamu ila jina siyo geni kwangu .
hakuna cha utani , ila kwa US iyo mbona kawaida sana, ana GF na BF kwa wakati mmoja,
Nimewahi,basi nimemjua tayari.
hakuna cha utani , ila kwa US iyo mbona kawaida sana, ana GF na BF kwa wakati mmoja,
Pitia nyuzi kama hzi utajua exposure ya watanzania kwenye mambo ya ng'ambo yakoje .... We are too shallow hadi aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu
Hizo habari zilivuma tu lakini sijui Kama zinaukweli wowote
Jamaa mbona Yuko vizuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza akawa nazo.
Hahahaha sureSijui ni nini kwa kweli wengi wanakonda sana we waangalie mashoga wengi ni wembamba na wamechoka!!!