[emoji3][emoji3][emoji3] hadi meno kabadili rangiUkimcheck dogo kwa haraka haraka, unaweza ukadhani ukifika tu Mto wa Mbu ukiulizia Jaden Smith unaoneshwa yule paleeeee....
Mapunga hawajifichi mkuu,ukiona tu unajua kabisa huyu ni "NGAPULILA".
Jamaa alitolewa kama kafala, mzee wake aliwabonda hao jamaa, mwanae akawaectia mashabiki kama mmoja wao, kumbe sio, ili mzee apate support ya kibiashara na kweli katoboaAlikuwa yuko vizuri tu kama hapaView attachment 1453454akitoka na demu wake safiView attachment 1453460Mara mwonekano unabadilika
View attachment 1453465Mara tetesi za kuwa na mahusiano na wanaume kama huyu jamaaView attachment 1453452View attachment 1453456View attachment 1453463
Sent using Jamii Forums mobile app
You are a piece of work.
Kwahio ni kibiashara zaidi?Jamaa alitolewa kama kafala, mzee wake aliwabonda hao jamaa, mwanae akawaectia mashabiki kama mmoja wao, kumbe sio, ili mzee apate support ya kibiashara na kweli katoboa
Huyo ni nani na umaarufu wake unatokana na nini ? ,kusema ukweli simfahamu ila jina siyo geni kwangu .
Yap Kuna kipindi fulani Will alitoa negative comment kwa hao LGBTQ community jamaa Waka muawakia balaa .Jamaa alitolewa kama kafala, mzee wake aliwabonda hao jamaa, mwanae akawaectia mashabiki kama mmoja wao, kumbe sio, ili mzee apate support ya kibiashara na kweli katoboa
Yule Willow Majanga, sema ile familia inajua kucheza na akili zao. Movie mpya aliyotoa atapiga Pesa kama kawaida pamoja na Mkewe JadaYap Kuna kipindi fulani Will alitoa negative comment kwa hao LGBTQ community jamaa Waka muawakia balaa .
Ilibaki kidogo tu will see blacklisted pale Hollywood .
Naona ilibidi wacheze karata zao vizuri ndio naomba wakajiexpose Jaden Ni gay
Ila Yule Willow Ni lesbo kabisa Yule
Same shit Kama mama yake tu ujanani akiwa na queen latifah[emoji44]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa yuko vizuri tu kama hapaView attachment 1453454akitoka na demu wake safiView attachment 1453460Mara mwonekano unabadilika
View attachment 1453465Mara tetesi za kuwa na mahusiano na wanaume kama huyu jamaaView attachment 1453452View attachment 1453456View attachment 1453463
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo dogo si nilisikia ame confirm kwamba Kisamvu kinapakuliwa
But karma never losses its adress, mshua wake kachezea sana mirefeji ya wenzake sasa naona karma inamua kufata tu adress yake
[/Q
Daaaah Astaghafulilah radhim wallah
InasikitishaKwa sasa vjana wa kiume wanatamani kuwa watoto wa kike na hao watoto wa kike wasiokuwa na akili nzuri wanatamani kuwa watoto wa kiume. kazi sana dunia hii ya 3
kwani hujawai kupakuliwa...?Kupakuliwa ni kufanyaje?
Sijakuelewa.
You have the right of free speech but that doesn't mean you have the right to be an asshole.kwani hujawai kupakuliwa...?
Analingiliwa kinyume na maumbileKupakuliwa ni kufanyaje?
Sijakuelewa.