Huyu jamaa anahitaji msaada!

Huyu jamaa anahitaji msaada!

Mzee

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
13,602
Reaction score
5,809
Kuna kijana tupo nae mtaani, tatizo lake kila akinywa pombe, akilala lazima ajinyee na kujikojolea. Je! Tatizo ni nini?
 
Tatizo ni ulevi ambao hulegeza viungo vyote
 
hbu mchunguzeni inaezekana mwanzo ashawahi zima akapigwa pipe....................huh
 
Kuna kijana tupo nae mtaani, tatizo lake kila akinywa pombe, akilala lazima ajinyee na kujikojolea. Je! Tatizo ni nini?
Dawa yake kubwa ni umwambie aache kunywa hiyo Pombe haimtaki anywe ndio maana akinywa hiyo Pombe ana jinyea na kujikojolea mwilini mwake mwambie aache kunywa hiyo Pombe anywe Juice za Matunda, Juice za miwa kwa Bakhresa na kadhalika zitampa afya kuliko hiyo pombe................
 
Jamaakamaliza kazihapo juu ,unywaji wa pombe ni hatari kwa afya yake
 
Huwa unalale naye au anakusimulia au unasikia kwa mkewe
user-offline.png
icon1.png
 
Back
Top Bottom