Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
- Thread starter
- #41
Bilioni walizoiba wakina Tibaijuika ni za walipa kodi sasa kawaida iko wapi hapo? Sasa kwa mfano hela zote za ESCROW na mikataba feki ni vipi itawafanya watu wafurahie Tanzania?
Wewe kweli nanga, nani kakwambia zile zilikuwa pesa za Umma? Tajiri wa kihaya alilipwa chake, na si pesa ya serikali. Kosa pale ni kuwa kwa nini watumishi wa umma walipokea pesa ambazo zilikuwa zina-undermine performance yao. Ni kosa la kimaadili tu, na sio criminal offence.
Kuhusu mikataba nani umeona ameshitakiwa mpaka sasa hivi?
Jitambue na elimika ili uweze kuwa na uwezo wa kutamka lenye ukweli na uhakika.