Bilioni walizoiba wakina Tibaijuika ni za walipa kodi sasa kawaida iko wapi hapo? Sasa kwa mfano hela zote za ESCROW na mikataba feki ni vipi itawafanya watu wafurahie Tanzania?
Mkuu usiulize alikuwa anapata wapi pesa...uliza alikuwa anatumiaje pesa?huyu jamaa alikuwa anapata wapi pesa?
swissme
Hilo sijalisema mkuu, mimi nimeongelea sifa ambazo J.M Kikwete hana.Nimejikuta napata swali Mkuu....
Kwani huyu wa sasa ndie mwenye sifa zinazo shabihiana na hizo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Heshima gani sasa wakati tunaelekea kuwa majini maana tushapitiliza ushetani,mm sikufichi mm na familia yangu wote tulimchagua ngosha na kumpigia kampeni kwa matumaini tele mpaka tuligombana na watu,,ila kwa muda huu mfupi sina hamu naye,,ukiniambia hata uchaguzi huu hapa bora kura nimpe rungwe,mm na familia yangu, tena ninaposema familia uelewe ni familia CCM haswa,kindakindaki ila kwa hili picha ,mwache amalize mwenyewe tu!Awamu hii mtasema yote heeheehee huyu mkwere si ndio mlimsema dhaifu?? Sasa hivi mnaisoma namba wallah laadhim! Piga kazi Ngosha mpaka wahame nchi , heshima itarudi taraaatiibu.
Sasa tatizo ni nini ?? Hapa ngosha ana mwaka 1 tu, wewe na familia yako mpeni hata miaka 3 kwanza ainyooshe nchi... There's light at the end of the tunnel.. akifikisha 10 years nchi itakua kama ughaibuni mtu unaishi kwa discipline ya maisha.mpe muda kidogo.Heshima gani sasa wakati tunaelekea kuwa majini maana tushapitiliza ushetani,mm sikufichi mm na familia yangu wote tulimchagua ngosha na kumpigia kampeni kwa matumaini tele mpaka tuligombana na watu,,ila kwa muda huu mfupi sina hamu naye,,ukiniambia hata uchaguzi huu hapa bora kura nimpe rungwe,mm na familia yangu, tena ninaposema familia uelewe ni familia CCM haswa,kindakindaki ila kwa hili picha ,mwache amalize mwenyewe tu!
Hakutakaa kutokee tz rais kama JK
Sio kama yule mpiga ngoma za kienuejiMzee ana roho nzuri sana na heshima.