Huyu Jamaa Hakuna Rekodi Atakayoiacha Salama!

Mahaba yakizid hugeuka upumbavu
Mkuu yule Makombo wenu;
1. Katika mechi za kimataifa aliitwa na timu yake? Na alifunga magoli mangapi?
2. Nasikia mara ya mwisho kufunga goli darasa la 7 walikua wanapiga pindi kama kawa? Mwenzake jana kawalaza mabeki wa timu bora kabisa barani Africa, Ivory Coast na viatu.
 
Unaongea na mimi au .. Mi sina timu mkuu mi nashibikia table tennis na basket
 
Unaongea na mimi au .. Mi sina timu mkuu mi nashibikia table tennis na basket
Sawa Mkuu.. Ila kama unataka burudani nzito, furaha ya milele, kuongeza siku za kuishi n.k.. Karibu Simba SC. Na kwa kuanza 15/09/2018 tutakua Mtwara tukigawa dozi kwa Ndada.
 
Mahaba mazito haya
Hahaha.. Mkuu mbona hakuna Mahaba yoyote hapo. Hayo ni machache saaaana kumuhusu MK14. Sasa tukitumia kalamu zetu kuandika yote yanayomuhusu huyu jamaa, si kuna watu hawataingiza timu 30/09/2018?
 
Hahaha.. Mkuu mbona hakuna Mahaba yoyote hapo. Hayo ni machache saaaana kumuhusu MK14. Sasa tukitumia kalamu zetu kuandika yote yanayomuhusu huyu jamaa, si kuna watu hawataingiza timu 30/09/2018?
Naona mkuu unatutisha,moto wa mabua huo,utakuja niambia
 
Avunje kwanza zile rekodi za Mavugo ulizokuwa unatuambia miaka 2 iliyopita ?
 
Avunje kwanza zile rekodi za Mavugo ulizokuwa unatuambia miaka 2 iliyopita ?
Hahaha.. Zile rekodi za King Mavugo za kila mechi goli kashaanza kuzivunja mapema tu, maana mpaka sasa mechi 2 goli 3 za nguvu. Alafu kama Messi mwenyewe safari hii hataachwa salama vipi kuhusu King? Ni suala la mda tu, haya niliyoyaandika yatimie.
 
Pumba
Pumba sana we mtu ,goli za kagame sio za msimu huuu hiyo ilikuwa ni last season ,alaf goli 10 haongozi mzeeee ,unahabari ata Kane tukiesabia na kombe LA dunia kamfunika na vip kuhusu magoli aliyofunga samata kwenye ligi yao + Europa na Belgium FA cup, hayo ni mifano bado hujaenda kwa mbape na huko brasil na agentina usiropoke mzeee
 
Taratibu Mkuu..
1. Kama unasema goli za Kagame ni za msimu uliopita, ina maana Kagere aliitumikia Simba SC (Mabingwa watarajiwa wa TPL 2018/19) msimu uliopita?
2. MK14 a.k.a Mzee wa Jicho 1, amefunga goli 10 mpaka sasa, sijasema anaongoza. Tuliza akili, nimesema hapo May, Meddie Kagere atakaua binadamu mwenye magoli mengi katika sayari hii.. Ni suala la mda tu.
By the way Mkuu.. Katika pumba nilizozileta, hujaona hata vipunje kidogo vya michele?
 
Ngoja tukutane naye huyo boya....akigusa mpira tu anakula guu la mbavu akafie mbele na bichwa lake kama sato.
 
Bangi inahitaji uzoefu,na siku ya kwanza kuivuta haiwezi kukuacha salama,dunia na jamii inayokuzunguka itajua kuna kitu hakiko sawa kwenye medula yako..
 
Ngoja tukutane naye huyo boya....akigusa mpira tu anakula guu la mbavu akafie mbele na bichwa lake kama sato.
Sasa Mkuu.. Jana Meddie Kagere pamoja na Ivory Coast kujitahidi kwa kila hali kumdhibiti, jamaa aliwaliza.. Pia aliufanya ukuta wao wa Berlin ulale na viatu Jana.
Mi nawaza hapa, kama mti mbichi (Ivory Coast) kaufanya hivi.. Vipi kuhusu mti mkavu (Ndala)? Na 30/09/2018 ifike.
 
sawa bhana tuliende heshima ya ligi yetu ,ila nijuavyo msimu hufunguliwa siku ya ngao ya hisani so mashindano baada ya ngao ndiyo ya msimu husika
 
Jinga kweli mi cjui nilifikir nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…