Huyu Jamaa Hakuna Rekodi Atakayoiacha Salama!

Mpaka ligi inaisha Kagere atakuwa amefunga magoli mengi peke yake kuliko magoli yote yatakayo kuwa yamefungwa na timu ya Yanga kwa ujumla
[emoji23] [emoji23] Simba ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Pia ni hatari kwa afya za [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Hii timu ya Tanzania inayovaa jezi nyekundu juzi wakati timu yetu ya Taifa taifa stars inacheza na Uganda ndio nilijua kuwa hawana akili timamu, niliunganisha na lile tuykio waliovunja viti vya uwanja wa TAIFA ambayo nchi imetumia fedha nyingi kununua, yaani wao WAKAWA WANASHANGILIA UGANDA kisa kocha aliwaadabisha wachezaji wao waliochelewa kuripoti kambini kwa utovu wa nidhamu??? yaani wakawa wanamshangilia okwi ni murshid??? hawaini kwa kukosa uzalendo
 

Hiyo Septemba 30 Kagere hatacheza..subiri utaona
 
Hiyo Septemba 30 Kagere hatacheza..subiri utaona
Sawa Mkuu nasubiri.. Ila hata ikitokea japo hakuna kitu kama hicho.. Simba tunauwezo wa kuweka kikosi kimoja Taifa Stadium kikacheza na Ndala, na kingine Chamazi kikacheza na Azam kwa wakati mmoja na pote tukashinda kwa ushindi mzito. Hivyo hata ikitokea hivyo hakuna tatizo.
 
Hivi kule Gor Mahia record zake ziko vipi?
Msimu Uliopita alitupia ngapi?
Au Bongo kuna mabeki vilaza sana?
Tusubiri magoli yake Tanga, Majimaji, Nangwanda, Singida, Mbeya ili tujue hatma yake.

Kenya msimu wa ligi uliopita alifunga goli 8 tu.
2018 Kenyan Premier League Top Scorers
 
MK 14..


Jina la kutisha hilo wakilishikia vyura sc wanapatwa na tumbo la kuharisha
 
Sitaki kuamini mashabiki wa simba wamekua kama mashabiki wa manchester united (Nyumbu)
 
Mkuu msimu huu.. Hawana Pakutokea.
Angalia mwisho wa msimu usije potelea sehemu isiyo na mawasiliano kama kawaida yako.
Vikianza kwenda mrama, unapotea 😁😁😁
 
Hao wanajuana wenyewe. Rage anawajua sana ndugu zake.
 

Sawa...lakini kwa Yanga na Simba usipime matokeo kwa kuona timu moja ni dhaifu na nyingine ina nguvu...inawezekana pengine wewe ni mshabiki kijana na hujui historia ya timu hizi...upo mwaka Simba alikuwa anashushwa daraja kama akifungwa na Yanga..ngoma ikapigwa uwanja wa taifa sasa UHURU...mwisho wa mechi Simba mbili bila majibu ..magoli ya John Makelele..goli moja amefungwa Sahau kambi golikipa wa Yanga katika mazingira ya kutatanisha..amedaka mpira akamtupia Makelele na bila ajizi akafunga kwa Sahau kutobolewa tobo..nilikuwepo uwanja wa taifa siku ile...tehteheh...usishangae Septemba 30 Mahadhi akaibuka shujaa...
 
Si Makombo tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…