switch Off
Member
- Oct 30, 2019
- 48
- 186
AiseeAkawe tapelii Sasa akapigee helaa huko vijijini
Na kweli nilijua ni Diamond kweli babe, uwe makini😀
Aanze kujiita Diamond RapaLeo nimebahatika kutazama video ya huyu Jamaa alie fanana na Diamond..mwanzoni sikiweza kutofautisha yaani nilijua ni Mond mwenyewe
View attachment 1596613
Toa maoni yako kuhusu huyo Jamaa !
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wamefanana japo tatizo letu ndo hili hawana ubunifu hebu amuangalie yule mwenzie aliyejiitaga hamorapa ameishia wapi zaidi ya kuwa kituko tu.
Na hapo si ajabu mwishowe akataka kuishi hadi aina ya maisha anayoishi Mondi.
Duniani wawili wawili!Na kweli nilijua ni Diamond kweli babe, uwe makini[emoji3]