Huyu Jamaa kweli kafanana na Diamond Platnumz

Huyu Jamaa kweli kafanana na Diamond Platnumz

Ngoja nimwambie diamond amuajiri kama double, kama Sadam alikuwa na doubles basi na Mond bin Laden hainabudi kuwa nao
 
Niliona anajisemea ana mambo mazuri tu, ana simu kali nk.
 
Wamefanana japo tatizo hawana ubunifu hebu amuangalie yule mwenzie aliyejiitaga hamorapa ameishia wapi zaidi ya kuwa kituko tu.

Na hapo si ajabu mwishowe akataka kuishi hadi aina ya maisha anayoishi Mondi.
Kwa mfano ungekuwa wewe ungefanyaje?
 
atumie fursa hyo...hapo atafute mtu aende huko bush aandae show afu atangaze kuwa mondi atakuepo. sku ya show huyu jamaa anaenda kama mondi
Waanziee sumbawangaa alikodondokeaa
 
Wamefanana japo tatizo hawana ubunifu hebu amuangalie yule mwenzie aliyejiitaga hamorapa ameishia wapi zaidi ya kuwa kituko tu.

Na hapo si ajabu mwishowe akataka kuishi hadi aina ya maisha anayoishi Mondi.

Huyu hapa [emoji41]
33dc4a9f-f886-46c6-be7d-b84899616489.jpg
 
Wamefanana japo tatizo hawana ubunifu hebu amuangalie yule mwenzie aliyejiitaga hamorapa ameishia wapi zaidi ya kuwa kituko tu.

Na hapo si ajabu mwishowe akataka kuishi hadi aina ya maisha anayoishi Mondi.
Shadeeya nakusalimu
 
Back
Top Bottom