Stavros Myles
JF-Expert Member
- Jun 7, 2020
- 350
- 390
Atafute hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp ndiyo ashakuwa star au
Ova
Kwa mfano ungekuwa wewe ungefanyaje?Wamefanana japo tatizo hawana ubunifu hebu amuangalie yule mwenzie aliyejiitaga hamorapa ameishia wapi zaidi ya kuwa kituko tu.
Na hapo si ajabu mwishowe akataka kuishi hadi aina ya maisha anayoishi Mondi.
Mademu vip ?Akawe tapelii Sasa akapigee helaa huko vijijini
Waanziee sumbawangaa alikodondokeaaatumie fursa hyo...hapo atafute mtu aende huko bush aandae show afu atangaze kuwa mondi atakuepo. sku ya show huyu jamaa anaenda kama mondi
🤣🤣🤣🤣🤣Nimekuja kustuka sio yeye baadae sana
🤣🤣🤣🤣🤣Mjini pagumu😂😂 akaona isiwe shida naye atambulike.
Huyu ni Mondi RapaLeo nimebahatika kutazama video ya huyu Jamaa alie fanana na Diamond..mwanzoni sikiweza kutofautisha yaani nilijua ni Mond mwenyewe
View attachment 1596613
Toa maoni yako kuhusu huyo Jamaa !
Wamefanana japo tatizo hawana ubunifu hebu amuangalie yule mwenzie aliyejiitaga hamorapa ameishia wapi zaidi ya kuwa kituko tu.
Na hapo si ajabu mwishowe akataka kuishi hadi aina ya maisha anayoishi Mondi.
Shadeeya nakusalimuWamefanana japo tatizo hawana ubunifu hebu amuangalie yule mwenzie aliyejiitaga hamorapa ameishia wapi zaidi ya kuwa kituko tu.
Na hapo si ajabu mwishowe akataka kuishi hadi aina ya maisha anayoishi Mondi.
Duuh!! Hadi inasikitisha Mkuu. Sababu hayo ni manini kayavaa sasa?Huyu hapa [emoji41]View attachment 1599019
Mie Alhamdulillah niko salama salimini Kaka. 🙏🙏🙏Shadeeya nakusalimu
Kwanini waniita kaka? Mbona waninyima hii nafasi adhimu kabisa ambayo kila siku naililiaMie Alhamdulillah niko salama salimini Kaka. [emoji120][emoji120][emoji120]
Lol. Hivyo n'ngekuitaje?Kwanini waniita kaka? Mbona waninyima hii nafasi adhimu kabisa ambayo kila siku naililia
KipenziLol. Hivyo n'ngekuitaje?
Duuh!! Umechelewa tayari kwani ameshaniwahi mzee mwenzangu Sesten Zakazaka. 😂😂😂 Teh.Kipenzi
Nafasi iliyobakia awe mshabiki wako labda😂😂Duuh!! Umechelewa tayari kwani ameshaniwahi mzee mwenzangu Sesten Zakazaka. 😂😂😂 Teh.