Kweli wewe Bashite watu wanapiga kazi 24/7 analala masaa mawili na hiyo mwaka mzima mtu anaenyeka,sasa kumsifu domo kufanya show tatu tena za masaa mawili? yaani anatoka hotelini hadi kwenye show na gari,akimaliza masaa mawili anarudhishwa hotelini na gari,analala/anapumzika kisha kesho yake anapelekwa aiport na gari anapanda ndege hadi hotelini,anapumzika hotelini mpaka saa 7 anaenda kwenye show kwa gari anapiga masaa mawili anarudi hotelini halafu ndio unasema anapiga kazi?
Ukitaka kujua watu wanaopiga kazi nenda site mtu anabeba ndoo ya zege kwa masaa 6 mfululizo,mtu anatindua lami masaa matatu nonstop na anapiga kazi kwa miaka mitatu mpaka ghorofa linamalizika.
Kuna vitu vingine sio vya kuropoka hata kama unalipwa na domo kuja kumsifia humu....sio wote mabashite wanaoweza kuvumilia upuuzi.