GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
🚮🚮🚮Wengjne wote ambao nilikuwa nikiwasikia na kuwafuatilia Wao ikifika sehemu ya kusema hali ya Bahari itakuwaje walikuwa wanasema Kiuhuruma na kama vile kuogopa Kutisha Wananchi ila Kudadade huyu Jamaa wa leo sijui ni Poti wangu kutoka Mkoa wa Wanamume pekee Tanzania nzima wa Mara ( Musoma ) au kwani hakutaka hata Kupepesa au kututia Moyo au kuwa Mnafiki bali kaenda moja kwa moja kwa kusema kuwa Hali ya Bahari itakuwa Mbaya na hadi Sura yake akaikunja vile vile ili kuonyesha Msisitizo.
Nimemkubali sana kwani GENTAMYCINE huwa napenda Watu ambao huwa Wananyooka na siyo Wanafiki Wanafiki.
Atakuwa poti huyo. Mapoti hawataki ujinga.Wengjne wote ambao nilikuwa nikiwasikia na kuwafuatilia Wao ikifika sehemu ya kusema hali ya Bahari itakuwaje walikuwa wanasema Kiuhuruma na kama vile kuogopa Kutisha Wananchi ila Kudadade huyu Jamaa wa leo sijui ni Poti wangu kutoka Mkoa wa Wanamume pekee Tanzania nzima wa Mara ( Musoma ) au kwani hakutaka hata Kupepesa au kututia Moyo au kuwa Mnafiki bali kaenda moja kwa moja kwa kusema kuwa Hali ya Bahari itakuwa Mbaya na hadi Sura yake akaikunja vile vile ili kuonyesha Msisitizo.
Nimemkubali sana kwani GENTAMYCINE huwa napenda Watu ambao huwa Wananyooka na siyo Wanafiki Wanafiki.
Kuna mama katunzwa milioni kama masiharaTupo nae Hapa Mlimani city tunacheka nae kwenye CHEKA TU
Jamaa huwa anaeleza hali ya hewa kwa namna ya kipekee sana🤣Wa UTV uyo
Sana channel nyingine wanakuwa na haraka na wamenuna hatariJamaa huwa anaeleza hali ya hewa kwa namna ya kipekee sana🤣
Jamaa huwa anaeleza hali ya hewa kwa namna ya kipekee sana[emoji1787]
Eti nikweli mapot wanauza madafu?Atakuwa poti huyo. Mapoti hawataki ujinga.
Hayo mambo dogo hayahitaji kukunja sura wala hisia ni suala la professinalism hivi huko SAUT ulifundishwa ujingaa?!Wengjne wote ambao nilikuwa nikiwasikia na kuwafuatilia Wao ikifika sehemu ya kusema hali ya Bahari itakuwaje walikuwa wanasema Kiuhuruma na kama vile kuogopa Kutisha Wananchi ila Kudadade huyu Jamaa wa leo sijui ni Poti wangu kutoka Mkoa wa Wanamume pekee Tanzania nzima wa Mara ( Musoma ) au kwani hakutaka hata Kupepesa au kututia Moyo au kuwa Mnafiki bali kaenda moja kwa moja kwa kusema kuwa Hali ya Bahari itakuwa Mbaya na hadi Sura yake akaikunja vile vile ili kuonyesha Msisitizo.
Nimemkubali sana kwani GENTAMYCINE huwa napenda Watu ambao huwa Wananyooka na siyo Wanafiki Wanafiki.
Mkono wa kulia kwenda mkono wa kushotoKuna mama katunzwa milioni kama masihara
Ishii! Kinekhee gukhuu?Wengjne wote ambao nilikuwa nikiwasikia na kuwafuatilia Wao ikifika sehemu ya kusema hali ya Bahari itakuwaje walikuwa wanasema Kiuhuruma na kama vile kuogopa Kutisha Wananchi ila Kudadade huyu Jamaa wa leo sijui ni Poti wangu kutoka Mkoa wa Wanamume pekee Tanzania nzima wa Mara ( Musoma ) au kwani hakutaka hata Kupepesa au kututia Moyo au kuwa Mnafiki bali kaenda moja kwa moja kwa kusema kuwa Hali ya Bahari itakuwa Mbaya na hadi Sura yake akaikunja vile vile ili kuonyesha Msisitizo.
Nimemkubali sana kwani GENTAMYCINE huwa napenda Watu ambao huwa Wananyooka na siyo Wanafiki Wanafiki.
Kimbunga JOB ndo kilimleta Jobe wa Simba bongoDuh! Kimbunga kinaitwa HIDAYA, ina maana ni cha kike? Kuna kingine kiliitwa JOB bila shaka kilikuwa cha kiume. Swali la kuuliza, kwa nini vimbunga viitwe majina ya watu? Kwa jinsi vinavyotishia usalama wa watu bora vikaitwa majina mabaya ya majini
kuna kingine kinaitwa HELEN, jina la kike hiliKimbunga JOB ndo kilimleta Jobe wa Simba bongo
Sasa Mimi kumuelezea huyu Msoma Hali ya Hewa na kusoma Kwangu SAUT kuna uhusiana nini? Halafu mkipewa BAN mnalalamika.Hayo mambo dogo hayahitaji kukunja sura wala hisia ni suala la professinalism hivi huko SAUT ulifundishwa ujingaa?!
Kasome hata climatology ya advance ufunguke bongolala yako.