Huyu jamaa yupo vizuri

Hata akipewa **** na Beyonce atabakia kuwa mchekeshaji wa kawaida tu
 
Huyu Erick Omond ana mbavu kama nyuzi za gitaa (just kidding)
 
Mamy K tuachie hyo miili ya kina Erick Omondi wengine ndo swaga zetu yaani wanatufanya tu comeπŸ˜€πŸ˜€

Akuu mwenzangu naogopa hizo mbavu zitachomoka zinichome.
Ukitaka kumkanda bae wako kama unapapasa kuni?
 
Mbona Rihanna wenyewe kakasirika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…