Huyu JAMBAZI alikuwa ameshashtukiwa kitambo: Walikuwa wanamlia timing tu!!

Huyu JAMBAZI alikuwa ameshashtukiwa kitambo: Walikuwa wanamlia timing tu!!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Si mnakumbuka alikuwa analalamika kupewa ammunitions/risasi, mabomu, mizinga kidogo!! Alikuwa ameshaanza kutokuaminika. Kwa hiyo ili asiwe na lundo kubwa la silaha alikuwa anapewa kidogo tu kinachomtosha kwenye uwanja wa mapambano.

Hakuwa anaaminika tena kutokana na kulalamikia makamanda wakuu wa majeshi ya urusi!! Kwa hiyo hakupewa dhamana nyingine baada ya kuwa amefanikiwa kuteka Bakhmut!! Wakampa siasa kuwa majeshi yake yapumzike kwanza!! Yalipopumzishwa akapewa dozi ya pili kwa, wapiganaji wa Wagner waingie mkataba na wizara ya ulinzi ya urusi, wasiwe moja kwa moja chini ya Wagner!

Lengo ni kumtenga taratibu!! Hapo ndipo aliposhtuka na kukataa!! Tayari Wagner hawakuwa na ammunitions za kuwatosha kuendesha mapambano na jeshi la urusi kwa muda mrefu!! Ni kweli wana uzoefu lakini bado kwa ni maji sana kupambana na PUTIN!

Rais wa Belarus akatumwa amwambie ukweli: Chagua kuendelea na uasi lakini ndio itakuwa mwisho wako, au achana na Urusi nitakuombea msamaha na kukupa nafasi ya kuhamia Belarus na kukuruhusu kuendeleza kampuni yako ya ulinzi!! Mwenyewe akanyosha mikono na kuamua kuachana na uasi na kwenda uhamishoni!!

Urusi ilijizuia sana ili kuepusha mauaji mengi ya askari na raia na ingekuwa aibu sana na maadui wa urusi kina MK254 wangeshangilia sana!! Lakini kama angekataa kusalimu amri ungekuwa ndio mwisho wake, pamoja na kwamba angesababisha maafa makubwa!!

Halafu kumbe hili jamaa ni jambazi na liliwahi kufungwa miaka 9.

  • Prigozhin received his first criminal conviction aged 18, later serving nine years in jail for robbery and theft. Once released, he opened a hot dog stand in the 1990s
 
Si mnakumbuka alikuwa analalamika kupewa ammunitions/risasi, mabomu, mizinga kidogo!! Alikuwa ameshaanza kutokuaminika. Kwa hiyo ili asiwe na lundo kubwa la silaha alikuwa anapewa kidogo tu kinachomtosha kwenye uwanja wa mapambano.

Hakuwa anaaminika tena kutokana na kulalamikia makamanda wakuu wa majeshi ya urusi!! Kwa hiyo hakupewa dhamana nyingine baada ya kuwa amefanikiwa kuteka Bakhmut!! Wakampa siasa kuwa majeshi yake yapumzike kwanza!! Yalipopumzishwa akapewa dozi ya pili kwa, wapiganaji wa Wagner waingie mkataba na wizara ya ulinzi ya urusi, wasiwe moja kwa moja chini ya Wagner!

Lengo ni kumtenga taratibu!! Hapo ndipo aliposhtuka na kukataa!! Tayari Wagner hawakuwa na ammunitions za kuwatosha kuendesha mapambano na jeshi la urusi kwa muda mrefu!! Ni kweli wana uzoefu lakini bado kwa ni maji sana kupambana na PUTIN!

Rais wa Belarus akatumwa amwambie ukweli: Chagua kuendelea na uasi lakini ndio itakuwa mwisho wako, au achana na Urusi nitakuombea msamaha na kukupa nafasi ya kuhamia Belarus na kukuruhusu kuendeleza kampuni yako ya ulinzi!! Mwenyewe akanyosha mikono na kuamua kuachana na uasi na kwenda uhamishoni!!

Urusi ilijizuia sana ili kuepusha mauaji mengi ya askari na raia na ingekuwa aibu sana na maadui wa urusi kina MK254 wangeshangilia sana!! Lakini kama angekataa kusalimu amri ungekuwa ndio mwisho wake, pamoja na kwamba angesababisha maafa makubwa!!

Halafu kumbe hili jamaa ni jambazi na liliwahi kufungwa miaka 9.

  • Prigozhin received his first criminal conviction aged 18, later serving nine years in jail for robbery and theft. Once released, he opened a hot dog stand in the 1990s
Hizi taarifa za vijiwe vya kahawa tuuu hakuna kitu
 
Ni huyo jamaa sio mtu wa kawaida ni balaa,kamtisha Putin hatar

Hata hvyo urusi wana bahati sana,wangechelewa kumtuliza hata kwa wiki moja tu angepata support kutoka magharibi ila kwa siri
Sapoti walipataga wachechen,lkn haikufua dafu,
Wachechen walikua wengi,wenye silaha Kali na ujuzi wa kupigana pia,waliungwa mkono Hadi na akina Osama bin laden,lkin mwisho wa siku Leo ni watiifu kwa VVP
 
Back
Top Bottom