Huyu jenerali wa Urusi tuliyeaminishwa ndiye suluhu, haya kashushwa madaraka

Huyu jenerali wa Urusi tuliyeaminishwa ndiye suluhu, haya kashushwa madaraka

Stupid West propaganda..no demotion there....he is still in charge under the command of his boss...

heheh hili neno propaganda mumelitumia mpaka halina maana tena.... kichapo kiko pale pale.
 
Hiyo jeshi ya Russia haina lolote ni joka la kibisa tu wao wanachoweza ni kuua raia tu. Bure kabisa.
 
Nakumbuka humu JF hakukukalika, tuliambiwa huyu ndiye pasua kichwa, ndiye mwenye misifa yote ya kulipua mabomu hata uraiani, maana ameua watu wa Syria sana kule, akategemewa kuwaua raia wa Ukraine, na kweli kaanzisha kampeni kali ya kupelekea mizinga uraiani, akasifiwa sana humu......

Hatimaye Urusi wamemshusha madaraka baada ya kugundua hana lolote, wamebanwa mpaka kuleee........takbirr


TELEMMGLPICT000320826132_trans_NvBQzQNjv4BqqVzuuqpFlyLIwiB6NTmJwSX5rhseiWKOo9p9OQ-ymek.jpeg


Russia's 'General Armageddon' demoted after just three months following battlefield failures​

Sergei Surovikin has been replaced as Russia's commander of the Ukraine invasion after a bombing campaign failed to turn the tide of the war
The Russian general commanding the Ukraine invasion has been demoted after just three months amid criticism that his campaign of bombing the Ukrainian power grid had failed.
Gen Sergei Surovikin, known as General Armageddon for his destruction of Aleppo in 2016, has been replaced as commander of Russian forces in Ukraine by Gen Valery Gerasimov, the head of the Russian army.
Gen Surovikin will now serve as Gen Gerasimov’s deputy.
The move is likely to deepen the rift between the Kremlin and an increasingly powerful wing of Russian nationalists who blame Gen Gerasimov for the failure to capture Kyiv.

In shifting Gen Gerasimov, analysts said Vladimir Putin could be trying to increase "manual control" over management of the war and deflect criticism by pro-war ultra-nationalists inside and outside the Kremlin.
The appointment appears to be a direct rebuke to Yevgeny Prigohzin, head of the mercenary Wagner group, an ally of Gen Surovikin.
Huyu jamaa alipopewa kile cheo siku ya pili alipiga mizinga bure bure Kyiv ukiuliza labda ameangusha majengo hakuna ata mtu mmoja ndani alikuwa jenerali wa ovyo sana.,

Watu wanapiga shabaha wakauwa hadi 400 kwenye kambi yeye anapiga missiles bombs tu silaha wenyewe Urusi hawana tena wanakodi toka Iran sasa na North Korea
 
1954 njoo utoe ufafanuzi hapa.Imekuwaje Kamanda mahiri kabisa ameshushwa cheo ndani ya miezi mitatu tu?
Hajashushwa cheo...he is still in charge...Russia has reorganized its army in this war...That is SMO has been raised to another level...the whole of the Russi's general staff is now in command of the SMO..This is according to various experts including those from NATO and the west...There have been noticeable movements of various units of the Russia's armed forces..These includes the aviation and navy...it would appear Russia is now preparing for a bigger war with NATO....nimekujibu kiungwana kwa kuwa binafsi nakuheshimu..
 
Nakumbuka humu JF hakukukalika, tuliambiwa huyu ndiye pasua kichwa, ndiye mwenye misifa yote ya kulipua mabomu hata uraiani, maana ameua watu wa Syria sana kule, akategemewa kuwaua raia wa Ukraine, na kweli kaanzisha kampeni kali ya kupelekea mizinga uraiani, akasifiwa sana humu......

Hatimaye Urusi wamemshusha madaraka baada ya kugundua hana lolote, wamebanwa mpaka kuleee........takbirr


TELEMMGLPICT000320826132_trans_NvBQzQNjv4BqqVzuuqpFlyLIwiB6NTmJwSX5rhseiWKOo9p9OQ-ymek.jpeg


Russia's 'General Armageddon' demoted after just three months following battlefield failures​

Sergei Surovikin has been replaced as Russia's commander of the Ukraine invasion after a bombing campaign failed to turn the tide of the war
The Russian general commanding the Ukraine invasion has been demoted after just three months amid criticism that his campaign of bombing the Ukrainian power grid had failed.
Gen Sergei Surovikin, known as General Armageddon for his destruction of Aleppo in 2016, has been replaced as commander of Russian forces in Ukraine by Gen Valery Gerasimov, the head of the Russian army.
Gen Surovikin will now serve as Gen Gerasimov’s deputy.
The move is likely to deepen the rift between the Kremlin and an increasingly powerful wing of Russian nationalists who blame Gen Gerasimov for the failure to capture Kyiv.

In shifting Gen Gerasimov, analysts said Vladimir Putin could be trying to increase "manual control" over management of the war and deflect criticism by pro-war ultra-nationalists inside and outside the Kremlin.
The appointment appears to be a direct rebuke to Yevgeny Prigohzin, head of the mercenary Wagner group, an ally of Gen Surovikin.
Hii vita isiyokuwa na kichwa wala miguu ilishamshinda mzee Putingo.
 
Back
Top Bottom