Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumsamehe amejipa cheo kikubwa kuliko uwezo wakeKiongozi are you sure wewe ni baharia?
Hawa ndiyo wasomi wa siku hizi!
Ni kweli mkuu. Si unaona hata kureply kwenye hizi comments za wadau hapa anashindwa. Anafungua tu kama ana-quote lakini haandiki chochoteNna wasiwasi na elimu yako
Baharia gani anashinda akisikiliza nyimbo za Nandy huku akijiita Sharobaro la jfKiongozi are you sure wewe ni baharia?
Samari ni kuwa mwanao wa like huwa anaendaga kwa kina Sharobaro la jf kutaka kugongwaOk aliyesoma mpaka mwisho naomba summary
Km nakufaham vile!Andika basi vizuri.
Pangilia kazi yako kwa paragraphs.
Tumia nukta kila mwisho wa sentensi.
Usitumie mikato sehemu isiyo sahihi.
Na huyu bwana kamega au jogoo haliwiki?Samari ni kuwa mwanao wa like huwa anaendaga kwa kina Sharobaro la jf kutaka kugongwa
Umesahau subwoofer mkuuKiufupi unakaa geto, una kochi, una jiko probably la gesi, upo chuo, una ma movie (series) mtoto mkali anajileta kwako inshort we jamaa ni full package
Sent From Galaxy S20 Ultra
Kifimbo chezaAndika basi vizuri.
Pangilia kazi yako kwa paragraphs.
Tumia nukta kila mwisho wa sentensi.
Usitumie mikato sehemu isiyo sahihi.
umeniwahi kumuuliza mkuuKiongozi are you sure wewe ni baharia?