Huyu jirani yangu wa kike ananipenda

Huyu jirani yangu wa kike ananipenda

Upo elimu ya juu sana, wewe ni sharobaro tena ukajiita baharia.

Tumia elimu yako ya juu sana hapo.



"Not everything is for everybody"
 
siyo usijari ni usijali....tuanzie kwanza hapo..halafu nitarudi baadae kukujuza cha kufanya
 
kutokana na uzi wako wewe ndo unaonekana unakiherehere....katika uzi wako sijaona sehemu yoyote huyo manzi aliyokuletea shobo.....unaonekana wewe "unajishobosha" mwenyewe..yani manzi kuja kukusalimia ndo unataka kutuambia anakutaka ..nenda kajipange wewe upya!!!!!!!!!
 
mimi kama baharia niliyekubuhu..nadhani kama ungeandika kuwa huyo manzi anakuletea mazoeya unatuomba tukushauri cha kufanya ningekuelewa ....ila kwa hiyo style yako unaonekana wewe ni domo zege tena zege la mradi wa mwendo kasi kabisa
 
Back
Top Bottom