Mimi sijasikia wala kuona mazuri yoyote. Shule za msingi nyingi bado zina majengo ambayo hayastahili kuitwa shule, wanafunzi hawana viti na madawati, hakuna vyoo na wana walimu wachache au hawana walimu kabisa, haya kwangu si mafanikio. The jury is still out when it comes to criminals.
*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*
Posted Date::12/3/2007
Majambazi yamtumia salamu mpya Mwema
*Yateka, yapora mamilioni mgodini
*Yalewa, yabaka na kuondoka bila hofu
* Baadhi wachimbaji wajinufaisha
*DC Bukombe aamuru mgodi ufungwe
Shija Felician na Suzy Butondo,Bukombe
Mwananchi
Naona umejaribu kutetea lakini cha ajabu kila mafanikio ulioyataja unakuwa mwepesi kukubali kwamba lakini.... kwa kiingereza 'but's na 'if's kibao!
Suala la majambazi inabidi nikatae! Hivi unasoma magzeti kweli? Hujasoma wikiendi hii majambazi walivyokuwa na field day! And FYI masuala ya ujambazi yalikithiri JK alipoingia madarakani siyo wakati wa BWM! Hata ishu ya akina Zombe ilikuwa enzi zake, so let's put the record straight! This was a power struggle among the police, nadhani kuna wachambuzi wenye information zaidi.
Suala la elimu - university, primary na secondary - enzi za danganya toto Bongo imekwisha! Wanalazimisha wananchi wajenge mashule na wanakomba misaada alafu tunasoma kila leo pesa za MMES na MMEM zimetafunwa, alafu watoto wanaenda shule na kujikuta na mwalimu moja. Then what happens? Panic! "Basi tuchukue ma-failure wa form four waende kufundisha watoto wetu" - ludicrous! Mungwana hana strategy katika elimu! Kaikuta imebaki from BWM era anaiendeleza it is not his initiatve, hili nalijua maana nliona mpango wa kuendeleza elimu. Walianza na MMES under BWM na next stage ilikuwa ni sekondari then baadaye vyuo. Siyo mafanikio yake JK!
Lakini thread hii haiko hapa kuchambua mafanikio ya JK, bali tunachojaribu kuelewa ni kwamba ana matatizo gani rais wetu? Maana it is without doubt kwamba mambo hayaendi kabisa Bongo. Sasa tunajaribu kuchambua psyche yake.
Look sisi kama raia wa Tanzania, in fact wapiga kura, tunampa mtu kura kuwa rais ili atende vitu fulani, sasa kusema anajitahidi and that he is training on the job for 2 years is WRONG!
Inaonyesha kwamba a) he is slow to understand maana miaka 2 bado tu! b) he understands but is incapable of action
Naomba: mwaka 2010 iwe mwaka wa mabadiliko jamani we cannot take more of the same!
"Naomba: mwaka 2010 uwe mwaka wa mabadiliko jamani we cannot take more of the same"(Susuviri)
Your anguish, and that of many now is obvious, but alas, your wish under CCM cannot happen. And it is CCM definetely 2010.QUOTE]
Susuviri umeeleza vizuri sana una napenda watu wenye courage kama yako.Tatizo tuko wachache.Siwapendi watu wenye mitazamo ya Kalamu ya kukata tamaa.Haiwezekani maanake nini.Kufufua wafu tu ndo kitu ambacho hakiwezekani.What is CCM anyway??They are not ALFA and OMEGA.They not gods. They are just a bunch of Greedy,Selfish and Corrupt people who don't have any moral conscious.Their main objective is just to gain power and then use it rob Tanzanians.
Kwa nini watushinde kuwaondoa madarakani kama kweli tutakuwa tumeamua.Lakini kama tuna mawazo kama ya Kalamu ya kukata tamaa kabla ya kutenda ni kuwa tunawapa ushindi kabla hata ya kupiga kura na wakati kura tunachofanya ni kuwahalarishia.Kwa kuwa hatufikiri na kuchanganua kipindi cha uchaguzi that is why to end up na wat kama JK.
Watanzania tuamke,hakuna ambacho hakiwezekani zaidi ya kurudisha uhai
huyu shetani anaitwa nyani siku yake ikifika ya kutereza kila mti ni TAWI sasa ngojeni tu huyu JK havuki 2010 nakuapieni tusijekupata sifa bure ya kuwa watabiri hata kwa vitu wazi namna hii!!!!
wewe jiulize ni amri ngapi ametoa na zikawa amri? huyu alizoea kuruka na mademu sasa anafikiria tuko huko huko kwenye field hiyo mpuuzi mkubwa?
Kinyau, ongezea na hizi!
5. "Tanzania tunasaini mikataba mibovu kwa sababu hatuna wataalamu wabobevu wa sekta ya madini". (Swali kwa Rais: Nyerere na STAMICO yake waliwatoa wapi wataalamu?)
6. "Sijui umasikini wa Watanzania unatokana na nini" (Swali kwa Raisi: Uliomba uraisi ili ufanye nini? Sasa uko madarakani kufanya nini? Biashara? Utalii?
Umejuaje amekusudia Jamii Forums ?