Huyu Judge naye alikuwa kivutio miss Tanzania, alitafuna peni nusu kuimeza yote

Huyu Judge naye alikuwa kivutio miss Tanzania, alitafuna peni nusu kuimeza yote

Duh, we jamaa unatafuna hata ambazo umeazimwa.

Hiyo tabia wacha aise, mimi nimeshamshuhudia bonge mmoja anapitisha peni kujikuna 'ufa' wa makalio, akiamini hakuna anayemuona.

Halafu ampe anaetafuna atafune😛
 
Mitanzania bhana..jaji alikuwa peke yake??..na ni nani ulitaka awe nafasi yake??

Miss tanzania aliyepatikana wewe una complain yoyote??
 
Connection ila ni mweupe kabisa kwenye hiyo tasnia ila swala la kula kalam hata mi ni tatizo na limefika mbali kwani nakula hadi ambazo nimeazimwa kitu ambacho kimekuwa tatizo na kero hadi kwangu mwenyewe sina kalamu yenye mfuniko kuepuka kula za watu huwa nasign narudisha kwao ni tatizo la kitaifa
Tatizo unatumia kalamu za bei rahisi...
 
Hili la kula vufuniko vya pen hata Mimi ninalo
 
Kenedy mwenyewe kuvaa hawez anawezaje kutengeneza mlimbwende wa kuiwakilisha tz kimataifa?
Hapa ndipo tunapokosea
 
Back
Top Bottom