Naona mzee kaamua akupe sureBawacha bhana..
Duh, we jamaa unatafuna hata ambazo umeazimwa.
Hiyo tabia wacha aise, mimi nimeshamshuhudia bonge mmoja anapitisha peni kujikuna 'ufa' wa makalio, akiamini hakuna anayemuona.
Hapo chacha.Halafu ampe anaetafuna atafune😛
Tatizo unatumia kalamu za bei rahisi...Connection ila ni mweupe kabisa kwenye hiyo tasnia ila swala la kula kalam hata mi ni tatizo na limefika mbali kwani nakula hadi ambazo nimeazimwa kitu ambacho kimekuwa tatizo na kero hadi kwangu mwenyewe sina kalamu yenye mfuniko kuepuka kula za watu huwa nasign narudisha kwao ni tatizo la kitaifa