Huyu Juma Mgunda atatwambia nini baada ya goli la kizembe kabisa

Asee sitaki hata kumsikia na ni aina ya watu wajinga wanaoangusha sana taifa letu.Uswahili uswahili tu

Kumbuka pia kuwa wako wanaoiona hoja yako kuwa ni ya kiswahiliswahili na kwamba watu wa aina yako ndio wanaokwamisha sana maendeleo ya taifa letu...kulaumulaumu tu kila kukicha..
 
Ata manula kimo kingemsaidia usingemfunga pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…