1 1954 JF-Expert Member Joined Nov 14, 2006 Posts 11,246 Reaction score 13,722 Nov 17, 2019 #21 kibaravumba said: Asee sitaki hata kumsikia na ni aina ya watu wajinga wanaoangusha sana taifa letu.Uswahili uswahili tu Click to expand... Kumbuka pia kuwa wako wanaoiona hoja yako kuwa ni ya kiswahiliswahili na kwamba watu wa aina yako ndio wanaokwamisha sana maendeleo ya taifa letu...kulaumulaumu tu kila kukicha..
kibaravumba said: Asee sitaki hata kumsikia na ni aina ya watu wajinga wanaoangusha sana taifa letu.Uswahili uswahili tu Click to expand... Kumbuka pia kuwa wako wanaoiona hoja yako kuwa ni ya kiswahiliswahili na kwamba watu wa aina yako ndio wanaokwamisha sana maendeleo ya taifa letu...kulaumulaumu tu kila kukicha..
C Chesty JF-Expert Member Joined Aug 30, 2009 Posts 5,777 Reaction score 2,720 Nov 17, 2019 #22 Laki Si Pesa said: Manula Ni Kipa mbovu, mgunda amesema ukweli Click to expand... Kakolanya usingemfunga pale
Laki Si Pesa said: Manula Ni Kipa mbovu, mgunda amesema ukweli Click to expand... Kakolanya usingemfunga pale
Bensoy JF-Expert Member Joined Dec 21, 2016 Posts 576 Reaction score 622 Nov 18, 2019 #23 Ata manula kimo kingemsaidia usingemfunga pale