Asee sitaki hata kumsikia na ni aina ya watu wajinga wanaoangusha sana taifa letu.Uswahili uswahili tu
Kumbuka pia kuwa wako wanaoiona hoja yako kuwa ni ya kiswahiliswahili na kwamba watu wa aina yako ndio wanaokwamisha sana maendeleo ya taifa letu...kulaumulaumu tu kila kukicha..