Huyu kaka ana jinsia gani?


Wapi nimesema huyu jamaa ni gay?

To the contrary siye miye niliyemtahadharisha Abdulhalim kuhusu ku form conclusion na kusema "majibu tunayajua" kwa ushahidi wa post za JF?

Hivi comprehension ya namna hii tukifeli mitihani tunalaumu Baraza la Mitihani na wasahihishaji nasi?
 
Last edited by a moderator:
Lanini povu na tatizo sio lako, siku nitakapo kuja kuliweka la kwako ndio unitafute. Hapa hakuna kusengenyana, inaonyesha wengi wenu hamjui maana yake. Unasengenya au kutoa aibu ikiwa umetaja identity yake, mbona saa nyingine ni wazito wa fikra?

Wekeni mawazo yenye kujenga si ya mambo ambayo hayana mbele wala nyuma. Hii nchi ina zaidi ya miaka 40 sasa bado tunagubikwa na lindi la umasikini kwa vile mawazo yetu ndo kama haya siku zote, hatukai kujadili vitu vya muhimu na vyenye kujenga. Wakati mwingine tunalaumu viongozi wetu kumbe tatizo kubwa ni sisi wenyewe. Mimi hata siku moja hutokuta najadili mambo kama hayo, na huwa napinga hadharani watu wenye hoja kama yako. Ingekuwa bora basi ungetungiwa wimbo maneno yako ama uimbie tarabu maana mambo ya kuoa na kuolewa ni maswala binafsi wala hatupashwi kuingilia.

Wako watu (wengi wao wanawake) ambao kila jambo siku hizi ni kuposti tu fb, redioni, nk hata kama linaweza kutatulika ktk level ya kifamilia.
 

Kumbe wewe ni mwanaume mbona umeweka picha ya mwanamke kama avatar yako? Au na wewe ni wa Jinsia gani???
 

Hupendi kuchangia kwenye issue hizi, kakoje ukalale....
 
Korosho , no hard feelings, kilichonikwaza ni kuwa the whole issue some of them translated I am reffering him as a gay. Huo wa usemi wako wa 'Useja' nimeusoma, thanks
 
Last edited by a moderator:

Kusoma na kufahamu ni vitu viwili tofauti na wewe unaonekana mzuri wa kusoma lakini kufahamu mzito. Kama angekuwa hataki angesema sitaki leave me alone au hata hizo contacts za huyo dada hangekuwa na ulazima wa kuzichukua.


Akiwa khanithi, akiwa khaboo, akiwa mtawa, akiwa mseja, akiwa mjane wa kudumu, yote ni yake muacheni, anaehitaji msaada husema japo kwa ishara. Huyo yeye anafanya yake tu, kumuingilia ni kukosa ustaarabu na heshima kwa maamuzi yake binafsi

Unakaa nae au uko karibu nae mpaka ujue kama hizo ishara, maana unasema kama unamjua vile,
 
...huyo kaka wa madameX yuko poa naamini...nina mfano halisi wa m2 mmoja aliyelelewa hivyo na akazushiwa maneno kama hayo ya uhanithi, ulemavu tena na watu wa kanisani kwake (walokole wenziwe). Alikuwa late 30z alichokifanya alioa kwa sababu ya pressure za watu wanaomzungika na kuharakisha kumzalisha mwanamke wake watoto wawili fasta afu akaondoka kusikojulikana ili aishi peke yake kama mwanzo!....mwacheni watu wa aina hiyo wapo!
 
wapo wanaooa hata na miaka 40,
kwani mna kiherehere cha nini na mtu wa watu.
 
Wakati mwingine huwa nafikiria kuwa labda ningemua tu kuwa kama huyo jamaa labda ningeepuka "stress" nyingi za mahusiano. Mimi naona nyie ndugu ndio mnaomsumbua jamaa kwa "stress" za kumlazimisha kuwa kama nyie mlivyo hata kama dalili zote zimeonyesha kuwa yeye hahitaji kuwa na mwanamke. Huyo jamaa alifaa sana kuwa kasisi (padre).
 

Yutong punguza jazba ndugu naona kama umekosea jukwaa vile. Hayo mambo ya umaskini wa zaidi ya miaka 40 wa wadanganyika huwa tunayajadili sana kwenye jukwaa la siasa tena wakati mwingine kwa jazba na matusi kweli. Huku ni mahusiano, mapenzi na urafiki tu.
 
Hupendi kuchangia kwenye issue hizi, kakoje ukalale....

MadameX hakukuwa na haja ya kumkashfu Yutong. Ungemsaidia tu kumjulisha kuwa hili siyo jukwaa la siasa ambapo yumkini mada za umaskini wa wadanganyika zinatendewa haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…