Huyu kaka ana jinsia gani?


we umenifanya ni cheke,nimevimbiwa bwana na ftari.
 

Vipi wewe kwani huwezi kumpa offer ili upate ukweli!!.
 
...atafutiwe eneo abalo atakuwa hajulikkani akakae kwa muda, atabadilika.
 
Mwache afanye maamuzi mwenyewe! Ebo, eti unam connectia! Bado umri unaruhusu.
 
hii ni another 'over-analysis' which contains 'nothing' really tbh, ambayo hata hivo bado inapruv hoja yangu..
otoh, umeulizwa swali, kwanini GLT wengi ni atheists...? i am all ears.
 
Kwa kua zoezi la kumleta dada wa kumtega limeshindikana basi jaribu kumleta basha then uje utupe update!!!
 
hii ni another 'over-analysis' which contains 'nothing' really tbh, ambayo hata hivo bado inapruv hoja yangu..
otoh, umeulizwa swali, kwanini GLT wengi ni atheists...? i am all ears.
not entirely true. most religions condemn GLT which makes it hard for them to join, similarly homophobes use religion to justify ill treatment to open GLT members. churches which accept gays are few and far apart and mosques are even rarer

EDIT:
Australian Statistics 2012

source: Gay Christians in Australia
 
Kwani mnaishi kijiji gani? Miaka 30 kwa kijana wa kiume sio mingi. Kuna watu wako reserved na mambo yao tu, ila ni ma-heartbreaker wazoefu! Nani alitoa uzi wa maswali ya kukera ya 'unaoa ama unaolewa lini?'
Huyu ana miaka 39 kama sikosei, I am sure kama ingekuwa na case ya heart broken tungemuelewa lakini siyo hivyo...
 
hii ni another 'over-analysis' which contains 'nothing' really tbh, ambayo hata hivo bado inapruv hoja yangu..
otoh, umeulizwa swali, kwanini GLT wengi ni atheists...? i am all ears.

Overanalysis pekee hapa ni kutaka kumfuatilia mtu ambaye kaamua kuishi maisha yake tofauti nanyi na kutoa conclusions ambazo hamna hata uhakika nazo, kwa ushahidi wa post za internet.

Kwamba GLT wengi ni atheists siwezi kukujibu kwa sababu silijui hilo na wala sijui source yako na wala sijui kama ni la ukweli.

Ninachojua ni ma anti-gay crusaders wengi ni gay.

Kama huyu Senator Larry Craig aliyekuwa anawapiga mawe gays kumbe na yeye anatafuta mtu kwenye public toilets tena.

Larry Craig scandal - Wikipedia, the free encyclopedia
 
anasubiri mungu amuambie ktk ndoto nani atakuwa mchumba wake
ndo walokole wengi hujdanganya hivo badala ya kuchakarika
ana matatizo huyo endelea kumtafutia.
 
kwani kuoa ni amri?,acheni kuwa wavivu kufikiri..kwani ngono chakula? Watu wameacha kuoa saa hz michosho tu.bora kuwa single
 
Overanalysis pekee hapa ni kutaka kumfuatilia mtu ambaye kaamua kuishi maisha yake tofauti nanyi na kutoa conclusions ambazo hamna hata uhakika nazo, kwa ushahidi wa post za internet.
hiv naezaje kumfatilia mtu nisiyemjua ?? sifahamiani hata mtu mmoja jf...sasa sijui ninawezaje it is beyond my hetero-quasi-sapio-sexual senses. labda upande wa pili wanaweza hilo.
Kwamba GLT wengi ni atheists siwezi kukujibu kwa sababu silijui hilo na wala sijui source yako na wala sijui kama ni la ukweli.
hiyo ni homework yako niliokupa, sio lazima uifanye leo...:laugh:

Ninachojua ni ma anti-gay crusaders wengi ni gay.

Kama huyu Senator Larry Craig aliyekuwa anawapiga mawe gays kumbe na yeye anatafuta mtu kwenye public toilets tena.

Larry Craig scandal - Wikipedia, the free encyclopedia

I aint anti-gay nor crusader by any imaginable stretch..kwa hiyo hili ni lako, hivo unapaswa kulitolea maelezo maana waonekana walijua viema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…