Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
not entirely true. most religions condemn GLT which makes it hard for them to join, similarly homophobes use religion to justify ill treatment to open GLT members. churches which accept gays are few and far apart and mosques are even rarer
EDIT:
View attachment 60773 Australian Statistics 2012
source: Gay Christians in Australia
hiv naezaje kumfatilia mtu nisiyemjua ?? sifahamiani hata mtu mmoja jf...sasa sijui ninawezaje it is beyond my hetero-quasi-sapio-sexual senses. labda upande wa pili wanaweza hilo.
hiyo ni homework yako niliokupa, sio lazima uifanye leo...:laugh:
I aint anti-gay nor crusader by any imaginable stretch..kwa hiyo hili ni lako, hivo unapaswa kulitolea maelezo maana waonekana walijua viema.
Hiyo ni akili tu imejengeka kuona tendo hilo au kuwa na wanawke ni kosa, njia rahisi ya kuondoa hilo ni awe na watu ambao watakuwa wako wazi kwenye kuzungumzia hilo jambo, nashauri mtafutie mwanamke chakaramu ambaye kila neno linalomtoka mdomoni ni tusi atazoea tu, mwanamke aliye decent kwa jamaa yako huyo atamuaribu zaidi!!
Jamii maskini zimejikita katika kufuatilia mambo yasiyo muhimu kama haya, nani khanithi nani rijali. Nani ana mke mmoja nani ana wake wanne na upuuzi mwingine kama huo.
Wakati wenzetu wanatafuta dawa za UKIMWI na kansa, wanapeleka vyombo Mars, wanasolve Poincare's conjecture.
I bet Grigori Perelman angekuwa Mtanzania watu wangemsema khanithi.
vigumu kufuata dini inayowalaani na kuwaambia they are worthless/going to hell. ungesoma link ungeona 40% ni wakristo wanaotafuta acceptance. pia experience tofauti za maisha zinachangia, gays waliokuwa accepted na familia wanakuwa more religious compared na waliotimuliwa walipojitangaza na kudharauliwa in the name of diniasilimia 48 ya samesex couples wamejinasibu kutokua na dini..kukataliwa kwene dini na kufuata dini ni vitu viwili tafauti.
Akiwa impotent au gay itakusaidia nini? Au na wewe ni gay unatafuta ma gay wenzako mkutane? Kwangu mimi that's the only justification, unatafuta ma gays kwa sababu na wewe gay unataka ku fraternize nao. Kama mtu mume huna interests na gays kwa nini utake kuwafuatilia kwa sana?
Yaani uanvyosema "people should be suspicious" utafikiri mtu kaiba kitu au anatuhumiwa utapeli.Kumbe mtu hajaonekana na mwanamke. Akikwambia yeye "Usalama wa Taifa" na ana siri anazochelea kuzitoa kama akiwa na mke au GF? Utamwambiaje?
Kauli yako haina mantiki yoyote, nadhani umejiona kua unachemka..Kuhusu kumfuatilia mtu usiyemjua si ndo hapo unaponichosha!
Of coz nyoka haezi kung'ata mkia wake mwenyewe..nilitegemea jibu kama hiliHuna ujiko wa kunipa homework mie, especially kwa kitu ambacho huja ki prove kuwa kipo hata katika mishale ya kuaminika.
my true colors ni kuita spade a spade, hamna haja ya kupindishapindisha wala kukwepeshakwepesha wakati tunajua majibu.Kwa kurukia kumlundika mtu ambaye hapendi kujichanganya kama gay unaonyesha your true colors.
ktk dunia ya leo ambapo almost everyone is mchungaji/mtume/nabii na kusema ana wahyi mpya na kuanzisha kanisa/dini mpya, it hardly makes sense mtu kusema anakataliwa kufuata dini wakati wana uhuru wa kuanzisha 'dini' zao zitakazowafariji perhaps. it doesn't make sense traditonal religions zikubaliane na GLT kwa sababu tu wanataka iwe hivyo wakati wao tayari wana misingi yao...hamna atakayekubali hiyo pollution.vigumu kufuata dini inayowalaani na kuwaambia they are worthless/going to hell. ungesoma link ungeona 40% ni wakristo wanaotafuta acceptance. pia experience tofauti za maisha zinachangia, gays waliokuwa accepted na familia wanakuwa more religious compared na waliotimuliwa walipojitangaza na kudharauliwa in the name of dini
kwani kuoa ni amri?,acheni kuwa wavivu kufikiri..kwani ngono chakula? Watu wameacha kuoa saa hz michosho tu.bora kuwa single
kuanzisha kanisa/dini sio rahisi kama udhaniavyo and its not the point. most gays were raised religiously b4 coming out, they just want to be acknowledged as members. Nobody wants separate churches/mosques for gays and straights.ktk dunia ya leo ambapo almost everyone is mchungaji/mtume/nabii na kusema ana wahyi mpya na kuanzisha kanisa/dini mpya, it hardly makes sense mtu kusema anakataliwa kufuata dini wakati wana uhuru wa kuanzisha 'dini' zao zitakazowafariji perhaps. it doesn't make sense traditonal religions zikubaliane na GLT kwa sababu tu wanataka iwe hivyo wakati wao tayari wana misingi yao...hamna atakayekubali hiyo pollution.
how close are you two?? ukiongea naye bila judgement anaweza kukwambia kwa nini haoi. i dont know about his sexuality, jaribu kumuuliza pia. how does he react akiwepo dada/kaka mwenye mvuto karibu, unaona tofauti yoyote kwenye body language yake?My worries is about his sexuality...sio kuoa
how close are you two?? ukiongea naye bila judgement anaweza kukwambia kwa nini haoi. i dont know about his sexuality, jaribu kumuuliza pia. how does he react akiwepo dada/kaka mwenye mvuto karibu, unaona tofauti yoyote kwenye body language yake?
Wazee walimuingilia na bango la kuoa, yalikuwa maswali lini itafika siku yako, jibu ni kuwa bado, sasa wazee nao wamechoka wamejiachia. Ikabidi sisi madada tumuulize wifi lini utatuonesha jibu ni vile vile nasi tukajiachia kuuliza direct question. Lakini sasa utata ni kuwa hana histori ya kuwa na mwanamke au hata being accompanied a woman except those close to him.
Yeye hata akiona dada mzuri au wa aina yeyote ni nutral, hakuna reaction, tukasema labda ni gay hata hao wa design hizo hatumwoni nao. Kuwa ni mlokole si wa hivyo kama ni mtu wa kila saa na neno la mungu, nikajaribu kumintroduce kwa huyo dada japokuwa mawasiliano yanaendelea lakini nothing more nothing less mazungumzo ni ya kawaida ya hali ya hewa, chadema na sensa no flirting au yale ya kiujanja janja wa kiume.
Nimekuja kuona aibu mimi mwenyewe kwa huyu mdada maana mpaka sasa yule kaka hailekei, Ok hana ulazima na huyu mtu wangu lakini atleast tujue yuko category gani maana hizi mbili za kuwa straight or gay hayuko, nikafikiri kuwa kutakuwa na namna ya tatu ambayo siifahamu.
Dah i wish ningekua kama yeye! Ningekua nimejenga gorofa ninge sevu hela nyingi sana.!