Ebu tuwekee screenshot[emoji23][emoji23][emoji23]mm nimemuweka jr Dp wewe je
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]labda azime dataKila mwanamke wake atamfata inbox huyo ndio nani kwa nini umemuweka kwa dp
Au atawadanganya Dada akee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]labda azime data
Hiyo itakuja na uzi wakeeEbu tuwekee screenshot
Mxeeeeew wajinga ndo watadanganywaaaAu atawadanganya Dada akee
Wooooooooozaaaaaaaa hivi mnakulana kweli au kuchangamsha jukwaa mambo za bongo movie za jfHiyo itakuja na uzi wakee
Nimeshamkula kama chipsy kuku nisimwage tu mambo hadharani maana kuna visokolokwinyooo vitazimiaWooooooooozaaaaaaaa hivi mnakulana kweli au kuchangamsha jukwaa mambo za bongo movie za jf
Nahisi tu changamsha jukwaa tu ujue mshana mtu mzimaNimeshamkula kama chipsy kuku nisimwage tu mambo hadharani maana kuna visokolokwinyooo vitazimia
Mwanakwetu moyoni tena khaaBest, wakati wewe wafurahia kuwekwa DP kuna wenzako wamewekwa moyoni mwa huyo mkaka.....watch out!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kweli, anastahili kuufurahisha moyo wake.Hao wa kuwekwa moyoni wawekwe tu acha ajifurahie tu kwakweli wa moyoni nani anawajua
Umeona eenh kila mtu anakuwa anapambana na hali yake[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kweli, anastahili kuufurahisha moyo wake.
Kuna siku rafiki yangu aliwekwa DP, kuingia Facebook kakuta huko kawekwa mdada mwingine,kwenda insta.kakuta mambo mubashara na mdada mwigine tena.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe tena, nitakuweka kichwani kabisaMwanakwetu moyoni tena khaa
Na mie niweke hata mfukoni basi kipenz
Ngoja niweke picha yako DPHuyu kaka nampenda sijui namtamani ila ndo vile akiweka picha yangu dp ananiburudisha sana. Baby nakusubiri urudi tuendelee.
Yours
S....n
Walikua wanauliza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti mtoe mtoe wakajua ndo mke mwenzao tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mwanamke wake atamfata inbox huyo ndio nani kwa nini umemuweka kwa dp
Khaa wanifanya ni kaabee watu now kichwani tena kama debe la lubisi au[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe tena, nitakuweka kichwani kabisa
Mi nimeweka sura yangu. Dp najiwekaga mimi mwanangu na mwanangu. Ila bf nilishamwekaga enzi zileee za mahaba[emoji23][emoji23][emoji23]mm nimemuweka jr Dp wewe je
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeooona eeeh na akijibu nafukua makaburi
Mgawanyo wa majukumu sio mbaya.wewe umewekwa DP mwenzio huko kawekwa moyoni
Wanachangamsha jukwaa hawa bwanaWooooooooozaaaaaaaa hivi mnakulana kweli au kuchangamsha jukwaa mambo za bongo movie za jf