EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #101
Duh unaendaga wapi jamaaUngefanya kama ninavyofanya
Unapotea nyumbani kwanza kwa muda wa siku kadhaa
Ukirudi atakuuliza ulikuwa wapi.....( ) iwe siri yako
Mbali na makazi yangu...Duh unaendaga wapi jamaa
Mbali na makazi yangu...
Huko ndipo walipo wale mabinti wanaonisifia eti Kaka { una dimpoz, una nyusi nyingi natamani ningezipata mini......sijui vitu gani..yaani nikirudi aaah } nakaa nimezipunguza
Yaani unamuachia maumivu yeye tuUnaahirisha matatizo sio
Yaani unamuachia maumivu yeye tu
Utaskia duu yaani umempa mwingine....unamwambia aaah kawaida sana amechezea lungu
Hajakupenda achana nayeDem akikuchoka hata haumizwi na madem zako hata ukakae wiki ukirudi anakunyali tu
Chai
Naitwa Mr. Brian (Sio jina langu halisi). Umri wangu ni miaka 35 kwa sasa. Nilioa miaka mitano iliyopita na mke wangu hivi sasa anayo miaka 28.
Kusema kweli naipenda familia yangu na kama mwanaune najitahidi sana kuihudumia. Nyumbani kwangu tunao mabinti wawili wa kazi. Mmoja kwa ajili ya kusaidia kazi za ndani na mwingine kusaidia kulea watoto wetu mapacha wenye umri wa miaka miwili hivi sasa.
Pamoja na yote nayojitahidi kumtimizia mke wangu, yeye amekuwa mtu ambaye hatimizi majukumu yake kama mke.
Amekuwa na ile aina ya maisha ya mitandaoni, kwanza ni mtu wa kushinda sana Instagram, facebook, Watsapp, Snapchat na Jamii Forums
Katika Page zote za Umbea umbea, page za maeneo ya starehe, hoteli za hadhi hakosekani. Hana muda kabisa wa kunipikia chakula, kunifulia nguo na kazi nyingine zote wanafanya wadada wa kazi.
Nilimtafutia kazi katika kampuni fulani, alifanya kazi miezi miwili tu na kuacha maelezo yake eti mshahara ni mdogo mno ukilinganisha na elimu yake. Kumbe aliniongepea kwani ukweli ni kwamba alifukuzwa kutokana na uzembe kazini.
Sikuona tabu, nikamfungulia duka la bidhaa za nyumbani (mini-shop), lakini biashara hata ikawa haistawi, nilivyofanya uchunguzi nikaja kugundua kuwa sababu ni lugha yake mbovu kwa wateja kiasi ya kwamba ilikuwa haipiti siku bila kugombana na wateja kadhaa jambo lililofanya wateja kukimbia.
Nimechukua maamuzi mara kadhaa ya kumrudisha kwao lakini amekuwa akilia na kudai nimsamehe atajirekebisha lakini wapi, hubadilika muda mfupi na kurudi kwenye ujinga wake.
Jambo kubwa ambalo limefanya mpaka uvumilivu unishinde ni hili; Juzi kati kuna fedha Milioni mbili na nusu niliipata baada ya kuuza mazao yangu, kwa kuwa ile fedha nilipewa cash na ilikuwa siku ya Jumamosi usiku nikaazimia Jumapili baada ya kutoka Kanisani nakaiweke benki kupitia Wakala wa Fahari Huduma.
Kumbe mwenzangu aliziona, akachukua na kwenda kununua furniture, Oven, Friji na vikolombwezo vingine kwa ajili ya kumpa rafiki yake ambaye alikuwa anafanyiwa kitchen party Wiki iliyokua inafuata. Nilipomuuliza akawa akinipa stori za alufu ulela ulela. Hazina miguu wala mikono.
Nafikiri sasa nimechoka rasmi, hapo sijazungumzia masuala ya kunyimwa unyumba. Nafikiria Kutalakiana nae. Maana nahisi muda wowote naweza nikafa kwa pressure nikaacha wanangu bado wadogo.
Je , niko sahihi kwa maamuzi ya kumpa talaka nilee tu watoto mwenyewe maana sioni msaada wowote!View attachment 1094860
Nadhani mm labda ni mgumu maelezo mengine..... pesa umeletewa Jumamosi usiku na ndiyo maana hata kwa wakala tu umeshindwa kupeleka licha ya bank..... sasa fanicha ni kaenda kununua usiku huohuo au asubuhi ya Jumapili mkuu?
Nina situation kama ya jamaa, kwa namna nilivyokuwa nampenda wife na hasa anavyovutia nikawa naogopa nikimuacha atapata mtu alafu atabadirika alafu wanafanya mambo makubwa ya mafanikio na huyo jamaa huku jamaa akifaudu kumtafuna mke wangu, nikawa kwenye fikra za namna hiyo kwa muda mrefu sana.Ila mkuu si umeamua mwenyewe kumwekea wafanyakazi wawili wa ndani sasa kinachokuliza ni nini ndugu yangu?.
Nikwambie kitu sipendi uweachishe kazi hao mabinti ila kwa masilahi mapana ya ndoa na familia yako embu fanya kuwapa mitaji hao maninti kiroho safi uwaambie samahanini naomba mkataba wetu wa ajira uishie hapa.
Naona watakusikiliza alafu sasa huyo mkeo umuache afanye hayo yote mwenyewe ataacha ujinga wake na uvivu.
Wala usimpe talaka sababu bado utaumia mkuu, huyo bado mdogo sana miaka 28 anaweza mkagawana mali alafu akaenda olewa na kajamaa kaboya boya ukashangaa kabadilika hapo utaanza sema mkeo alikuwa anakucheat na huyo mume wake mpya kumbe walaa ni kwamba kajifunzia nje ya kwako.
Natumai umenielewa Bro!. Pole sana
Nina situation kama ya jamaa, kwa namna nilivyokuwa nampenda wife na hasa anavyovutia nikawa naogopa nikimuacha atapata mtu alafu atabadirika alafu wanafanya mambo makubwa ya mafanikio na huyo jamaa huku jamaa akifaudu kumtafuna mke wangu, nikawa kwenye fikra za namna hiyo kwa muda mrefu sana.
Na ikawa kila akipoteza pesa nyingi sana katikati ya ugomvi eti anashika mimba, mtoto wa kwanza haikuwa hivyo, ila wapili alishika mimba katikati ya ugomvi baada ya kupoteza pesa, akazaa mtoto tunafanana sana nikaachana na ugomvi. Upuuzi wake wa kitabia kama mke wa huyu jamaa kila kitu ikiendelea kama kawaida, baada ya miaka mitatu akapoteza pesa ingine nyingi zaidi ya mwanzo hii nikaanza mpaka mchakato wa taraka sasa, sijui alinitegea au uboya wangu mwenyewe katikati ya ugomvi mkubwa akatangaza mimba tena, nikapoa akazaa, tabia zake ziko pale pale.
Wakati huo kwanza nilikuwa nasema lazima mtoto wangu akulie kwenye mazingira bora kabisa ya kifamilia, kisha ikawa watoto wangu mpaka wamefikia watatu.
Hoja nzito walizokuwa wakileta ndugu zake na yeye mwenyewe na ndugu zangu wakawa wanazisupport kwenye vikao (japo tukiwa wenyewe wanazipiga chini) ikawa ni watoto, kwamba tukiachana watoto watapata tabu, familia yetu ni nzuri sana tusiiharibu, oooh Mungu ataleta zingine na promises za wife kubadirika zote hazikusaidia HAKUBADIRIKA
siku moja nikakaa nakutafakari, kama nikifa leo watoto wangu ntawasadiaje, au mke wangu hataliwa na wanaume wengine? Na hizi mali, ambazo ni chache sana kiukweli ntaenda nazo kaburini, nikatafakari namna watu waliokulia maisha ya tabu wanavyo perform vizuri kwenye maisha na namna wake za watu wanavyogegedwa mitaani, nikafikia maamuzi BREAK IT UP.
I BROKE IT UP. nikamuachia kila kitu kinachotafutika, kila kitu, nikaondoka ,nikauhama na mji na kazi nikaacha nikasepa.
WHAT A HAPPY MAN I AM TODAY.
Chori huyo piga chini atakutia umasikini.Naitwa Mr. Brian (Sio jina langu halisi). Umri wangu ni miaka 35 kwa sasa. Nilioa miaka mitano iliyopita na mke wangu hivi sasa anayo miaka 28.
Kusema kweli naipenda familia yangu na kama mwanaune najitahidi sana kuihudumia. Nyumbani kwangu tunao mabinti wawili wa kazi. Mmoja kwa ajili ya kusaidia kazi za ndani na mwingine kusaidia kulea watoto wetu mapacha wenye umri wa miaka miwili hivi sasa.
Pamoja na yote nayojitahidi kumtimizia mke wangu, yeye amekuwa mtu ambaye hatimizi majukumu yake kama mke.
Amekuwa na ile aina ya maisha ya mitandaoni, kwanza ni mtu wa kushinda sana Instagram, facebook, Watsapp, Snapchat na Jamii Forums
Katika Page zote za Umbea umbea, page za maeneo ya starehe, hoteli za hadhi hakosekani. Hana muda kabisa wa kunipikia chakula, kunifulia nguo na kazi nyingine zote wanafanya wadada wa kazi.
Nilimtafutia kazi katika kampuni fulani, alifanya kazi miezi miwili tu na kuacha maelezo yake eti mshahara ni mdogo mno ukilinganisha na elimu yake. Kumbe aliniongepea kwani ukweli ni kwamba alifukuzwa kutokana na uzembe kazini.
Sikuona tabu, nikamfungulia duka la bidhaa za nyumbani (mini-shop), lakini biashara hata ikawa haistawi, nilivyofanya uchunguzi nikaja kugundua kuwa sababu ni lugha yake mbovu kwa wateja kiasi ya kwamba ilikuwa haipiti siku bila kugombana na wateja kadhaa jambo lililofanya wateja kukimbia.
Nimechukua maamuzi mara kadhaa ya kumrudisha kwao lakini amekuwa akilia na kudai nimsamehe atajirekebisha lakini wapi, hubadilika muda mfupi na kurudi kwenye ujinga wake.
Jambo kubwa ambalo limefanya mpaka uvumilivu unishinde ni hili; Juzi kati kuna fedha Milioni mbili na nusu niliipata baada ya kuuza mazao yangu, kwa kuwa ile fedha nilipewa cash na ilikuwa siku ya Jumamosi usiku nikaazimia Jumapili baada ya kutoka Kanisani nakaiweke benki kupitia Wakala wa Fahari Huduma.
Kumbe mwenzangu aliziona, akachukua na kwenda kununua furniture, Oven, Friji na vikolombwezo vingine kwa ajili ya kumpa rafiki yake ambaye alikuwa anafanyiwa kitchen party Wiki iliyokua inafuata. Nilipomuuliza akawa akinipa stori za alufu ulela ulela. Hazina miguu wala mikono.
Nafikiri sasa nimechoka rasmi, hapo sijazungumzia masuala ya kunyimwa unyumba. Nafikiria Kutalakiana nae. Maana nahisi muda wowote naweza nikafa kwa pressure nikaacha wanangu bado wadogo.
Je , niko sahihi kwa maamuzi ya kumpa talaka nilee tu watoto mwenyewe maana sioni msaada wowote!View attachment 1094860
Kabisa mkuuChori huyo piga chini atakutia umasikini.
Asante mkuuMkuu hapo Fanya maamuzi magumu tu alafu owa mwengine akikisha awe kaishia darasa la saba au Form Four kidogo hawa wanaheshima lakini hao walio graduate wengi wao hawajui majukumu yao kupika, kufua kumhudumia mme
Piga Chini achana na fikra Mgando kuwa Ndoa ni Pingu Za Maisha
Du mkuu ungefungua uzi kamili watu wajifunze kupitia ww naona kama yamekukuta mazitoNina situation kama ya jamaa, kwa namna nilivyokuwa nampenda wife na hasa anavyovutia nikawa naogopa nikimuacha atapata mtu alafu atabadirika alafu wanafanya mambo makubwa ya mafanikio na huyo jamaa huku jamaa akifaudu kumtafuna mke wangu, nikawa kwenye fikra za namna hiyo kwa muda mrefu sana.
Na ikawa kila akipoteza pesa nyingi sana katikati ya ugomvi eti anashika mimba, mtoto wa kwanza haikuwa hivyo, ila wapili alishika mimba katikati ya ugomvi baada ya kupoteza pesa, akazaa mtoto tunafanana sana nikaachana na ugomvi. Upuuzi wake wa kitabia kama mke wa huyu jamaa kila kitu ikiendelea kama kawaida, baada ya miaka mitatu akapoteza pesa ingine nyingi zaidi ya mwanzo hii nikaanza mpaka mchakato wa taraka sasa, sijui alinitegea au uboya wangu mwenyewe katikati ya ugomvi mkubwa akatangaza mimba tena, nikapoa akazaa, tabia zake ziko pale pale.
Wakati huo kwanza nilikuwa nasema lazima mtoto wangu akulie kwenye mazingira bora kabisa ya kifamilia, kisha ikawa watoto wangu mpaka wamefikia watatu.
Hoja nzito walizokuwa wakileta ndugu zake na yeye mwenyewe na ndugu zangu wakawa wanazisupport kwenye vikao (japo tukiwa wenyewe wanazipiga chini) ikawa ni watoto, kwamba tukiachana watoto watapata tabu, familia yetu ni nzuri sana tusiiharibu, oooh Mungu ataleta zingine na promises za wife kubadirika zote hazikusaidia HAKUBADIRIKA
siku moja nikakaa nakutafakari, kama nikifa leo watoto wangu ntawasadiaje, au mke wangu hataliwa na wanaume wengine? Na hizi mali, ambazo ni chache sana kiukweli ntaenda nazo kaburini, nikatafakari namna watu waliokulia maisha ya tabu wanavyo perform vizuri kwenye maisha na namna wake za watu wanavyogegedwa mitaani, nikafikia maamuzi BREAK IT UP.
I BROKE IT UP. nikamuachia kila kitu kinachotafutika, kila kitu, nikaondoka ,nikauhama na mji na kazi nikaacha nikasepa.
WHAT A HAPPY MAN I AM TODAY.